Hellow wanamitindo

Hellow wanamitindo

Ubaya wa clinic clear tena ni ukatili inaweza kukuchubua tu sura alafu mwili ikakugomea.

Ukitaka ikutendee mema uwe unaipaka usiku tu! Na jua lisiwe rafiki yako baada ya kupata rangi unayoitaka achana nayo unakuwa soft na mzuuuuuri sanaaaa alafu usitumie sabuni za kemikali maana zitafanya kutibu ngozi hivyo utaharibika
 
Ubaya wa clinic clear tena ni ukatili inaweza kukuchubua tu sura alafu mwili ikakugomea.

Ukitaka ikutendee mema uwe unaipaka usiku tu! Na jua lisiwe rafiki yako baada ya kupata rangi unayoitaka achana nayo unakuwa soft na mzuuuuuri sanaaaa alafu usitumie sabuni za kemikali maana zitafanya kutibu ngozi hivyo utaharibika
E! Kumbe inachubua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila picha ni ngumu kukupa ushauri dada

yess BishOoo haSwaaaaaaaH[emoji111]
 
Back
Top Bottom