Hellow

Hellow

Joined
Mar 20, 2018
Posts
12
Reaction score
14
H
 

Attachments

  • IMG_20180319_163431_991.jpg
    IMG_20180319_163431_991.jpg
    97.6 KB · Views: 62
Mkuu hii barabara inaisha lini.? Na mpaka sasa imekamilika kwa asilimia ngapi.?
Barabara imegawanywa kwa makundi mawili,

Kuna group 1 linaanzia Mafinga to Nyigo,
Na group 2 linaanzia Nyigo to Igawa,

Mimi nipo Mafinga group1
Na mpaka sasa tumefikisha zaidi ya asilimia 80 kwa ujenzi wa barabara yenyewe tukiachana na Drainage structure ambazo ni Mitaro,

Maeneo mengi yaliyobaki kukengwa ni yale maeneo chepechepe (swamps) ambayo yanahitaji heavy structure kama Filter layer (Embankment) haya ndio maeneo yanayosumbua sana, nadhani hata watu wakipita wanaona ni jinsi gani mawe makubwa (Cobblestone) yanapangwa.
 
Barabara imegawanywa kwa makundi mawili,

Kuna group 1 linaanzia Mafinga to Nyigo,
Na group 2 linaanzia Nyigo to Igawa,

Mimi nipo Mafinga group1
Na mpaka sasa tumefikisha zaidi ya asilimia 80 kwa ujenzi wa barabara yenyewe tukiachana na Drainage structure ambazo ni Mitaro,

Maeneo mengi yaliyobaki kukengwa ni yale maeneo chepechepe (swamps) ambayo yanahitaji heavy structure kama Filter layer (Embankment) haya ndio maeneo yanayosumbua sana, nadhani hata watu wakipita wanaona ni jinsi gani mawe makubwa (Cobblestone) yanapangwa.
Hmm.. Hongereni sana. Kazi nzuri
 
Back
Top Bottom