goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,149
Hahahaa et baada ya kuchana nywele[emoji2] [emoji2] , naona dogo kachakarika kweli kuzitafuta, 1 ya kukaa, 2 akionesha getho lake na 3 baada ya kuchana nywele.
Nasubir mda wa kufukua makaburi[emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwenye Ubora Wako Dada Angu
Anafukua ya kale na ya punde.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwenye Ubora Wako Dada Angu
Yani huyu..khaa..ndio maana nikaona kapost tena tatu zimeongozana..jamaniKumbe we ndo uliemdanganya mpaka akapost zile picha hahahaha we mbaya wewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yani huyu..khaa..ndio maana nikaona kapost tena tatu zimeongozana..jamani
Babe ebu na we onyesha sura basi kwa nini umejicropNdio nini sasa?
Hahah!!.. na wewe geuka basiBabe ebu na we onyesha sura basi kwa nini umejicrop
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mawazo yangu yalikuwa sawa kabisa hakuna tofauti davet kiben10Hahah!!.. na wewe geuka basi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]za fb dogo hizo...soksi umesahau.
Kikifika kiben kingine uniite[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mawazo yangu yalikuwa sawa kabisa hakuna tofauti davet kiben10
Hahah! ningekutumia voicenote ya kicheko sema tu hiyo option haipo humu.... [emoji23][emoji23][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mawazo yangu yalikuwa sawa kabisa hakuna tofauti davet kiben10
Kiben cha nini tena jamaniKikifika kiben kingine uniite
Hamna kiben 11, 12..??Kiben cha nini tena jamani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huyo ni wewe kwanza umecrop sura pili kuhusu nini kinaonyesha uben10 umevaa kata k cha pili umeedit edit picha hivyo haya muhenga gani anaweza fanya hizo mamboHahah! ningekutumia voicenote ya kicheko sema tu hiyo option haipo humu.... [emoji23][emoji23][emoji16]
a. Kwani nimekuambia kua huyo ndio mimi?
b. Kama ningekua ni mimi kitu gani kinadhibitisha huo uben10 hapo?
Hakuna ni ten tuHamna kiben 11, 12..??