Hahahah usalama tena upiii jamaniHahah sababu za kiusalama zinaninyima uhuru kabisa
dah [emoji52]Mh una maswali jamani 29 kushuka chini
Pole sanadah [emoji52]
Michango yangu jukwaa la siasa inanifanya kuogopa kutekwa maana sijawahi kumuacha salama naibu rais [emoji1]Hahahah usalama tena upiii jamani
kwaiyo 29 hadi 0 wote ni viben 10Pole sana
Ndio mkuu ndio mana nimekupa polekwaiyo 29 hadi 0 wote ni viben 10
NimekuelewaMichango yangu jukwaa la siasa inanifanya kuogopa kutekwa maana sijawahi kumuacha salama naibu rais [emoji1]
Hapo ndio unaweza kudeal nao vizuri maana utakuwa unajua kila kitu wanachotaka waoBwana weeeh najua mambo zao hao watu
Na nini maana ya kiben 10Ndio mkuu ndio mana nimekupa pole
HahahahahaaaEenh hongera sana nitakuja kukutembelea nikajua locations labda ya hotel flani hiviii kiben10 wewe upo juu
Yaan Mwifwa kama nakuona jamani si kwa kicheko hikoHahahahahaaa
Mwanaume mdogo aliyepitwa umri na mwanamkeNa nini maana ya kiben 10
HahahahahaaaaaKhaaa kodi inaisha tena kwahiyo utahamia wapi tena jamani
Nisiruke fensi kivipi tenaHahahahahaaaaa
Usiruke fensi bana
Kwa mujibu wa Shuniekwaiyo 29 hadi 0 wote ni viben 10
Hichi kicheko ni cha mwendo wa Bombardier kabisa...Yaan Mwifwa kama nakuona jamani si kwa kicheko hiko
KumbeeeeMwanaume mdogo aliyepitwa umri na mwanamke
Ndio maana nakupendagaNimekuelewa
hahahaha kumbe sijawahi date na big mama[emoji23] [emoji23] [emoji23] .....so am not kiben 10Mwanaume mdogo aliyepitwa umri na mwanamke