....................Inakera sasa,mods mmelala ama vipi?kipindi najiunga humu early 2013 haikuwa rahisi kujiunga hovyo ila sasa mmerahisisha mno vigezo vya kujoin humu that's why ujinga huu umezidi.
Siku hizi hata mwendawazimu ana-post JF,hapo nyuma kwa siye wavivu wa kuandika hatukuthubutu kutuma post humu kama hatuna cha maana cha kuandika ila siku hizi imekuwa rahisi kila mtu anajiandikia na kutuma anachotaka.
Teh mbna mkubwa afu huna ndevu?? Wewe
Hah haaaaa, wapi hiyo mura?Hellow naitwa Tony natokea mkoa wa Mara, umri 25. Single
View attachment 1210698
fb hah aaaaaHellow naitwa Tony natokea mkoa wa Mara, umri 25. Single
View attachment 1210698
Bro sikua natumia JF nilijiunga mapema but sio mtumiaji ndo mimekuja rasmiHalafu uwache kutuzingua matade weweView attachment 1210929