Hellow

Hellow

Kinkajou

Member
Joined
Jan 4, 2016
Posts
71
Reaction score
54
Hellow naitwa Tony natokea mkoa wa Mara, umri 25. Single
FB_IMG_15666629129361386.jpeg
 
Kwani Mwifwa umetoa maelekezo ya namna hii tena?

Asante kwa picha endelea kujumuika nasi maana tayari wewe ni mwenyeji.
 
....................Inakera sasa,mods mmelala ama vipi?kipindi najiunga humu early 2013 haikuwa rahisi kujiunga hovyo ila sasa mmerahisisha mno vigezo vya kujoin humu that's why ujinga huu umezidi.

Siku hizi hata mwendawazimu ana-post JF,hapo nyuma kwa siye wavivu wa kuandika hatukuthubutu kutuma post humu kama hatuna cha maana cha kuandika ila siku hizi imekuwa rahisi kila mtu anajiandikia na kutuma anachotaka.
 
Huyu anaonekana ni member since 2016 ss sielewi ni nin kimpata?
....................Inakera sasa,mods mmelala ama vipi?kipindi najiunga humu early 2013 haikuwa rahisi kujiunga hovyo ila sasa mmerahisisha mno vigezo vya kujoin humu that's why ujinga huu umezidi.

Siku hizi hata mwendawazimu ana-post JF,hapo nyuma kwa siye wavivu wa kuandika hatukuthubutu kutuma post humu kama hatuna cha maana cha kuandika ila siku hizi imekuwa rahisi kila mtu anajiandikia na kutuma anachotaka.
 
Back
Top Bottom