Hellow

Hellow

LUDEWA BOY

New Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
2
Reaction score
2
Niaje makamanda!
Mnikaribishe kamanda mwenzenu katka jukwaa hili ili tuendeleze mapambano
 
Unakaribishwa ila zingatia adabu na utii kwa watu wote utakaowakuta humu, uwe mvumilivu, usiwe na jaziba na mwisho kabisa ficha upumbavu wako usifiche busara na hekima zako.
 
Karibu kamanda
zingatia kanuni na mashart ya jf matusi hayatakiwi humu,ukiwa na matusi tunakufurumusha
 
Back
Top Bottom