Jemimah cindy
New Member
- Jul 1, 2021
- 0
- 53
Helo am new here, naomba muongozo wa jins gani naweza kupost bidhaa zangu za sofa cover kwa kitengo cha biashara, asanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu ni hiyo nlioielezea hapo kwa post ya, awaliKilichokufanya ujiunge jf nn
Karibu sana.Helo am new here,naomba muongozo wa jins gani naweza kupost bidhaa zangu za sofa cover kwa kitengo cha biashara,asanteni
Jina langu lajielezeaMwanamke au mwnmme
Natafuta la busnessKaribu sana.
Kwani kwa hili jukwaa umepost vipi?
Attach files Jemimah Cinthia
35yrsKaribu.
Tungependa kujua umri wako?
Umeolewa?
Una watoto wangapi?
Jibu liambatane na picha yako na no ya simu karibu sana.
Nani kakudanganya Jf kuna wateja?Helo am new here,naomba muongozo wa jins gani naweza kupost bidhaa zangu za sofa cover kwa kitengo cha biashara,asanteni
Helo am new here,naomba muongozo wa jins gani naweza kupost bidhaa zangu za sofa cover kwa kitengo cha biashara,asanteni
Asante kwa majibu,35yrs
Nimelewa
Ni mchungaji
Nina mtoto 1
Kupist picha bado sijajua
Mkuu bado yuko hatua ya awali haya maswali ni ya hatua ya tatu. Tusimuoverdose.Kwanza tueleze katiba ni nini ??
Na unaushari gani kwa serikali kwa katiba hii ya sasa ??
[emoji23][emoji23][emoji23]Asante kwa majibu,
Tunapitia wasifu wako baada ya masaa 24 tutakupa majibu kama unaruhusiwa kuendelea kutumia JF ama laaah...
Swali la ziada, unatumia tecno?
Habari ya kwako naomba ombi la kuwa rafiki yako kwenye shida na rahaHelo am new here,naomba muongozo wa jins gani naweza kupost bidhaa zangu za sofa cover kwa kitengo cha biashara,asanteni
Dah tupo mkuuNani kakudanganya Jf kuna wateja?
Nunua sasaDah tupo mkuu
Ngoja apandishe pichaNunua sasa