helo

Sio lazima kila mtu awe baba mwenye gari, hata ukiwa baba mwenye bodaboda inatosha
 
nauliza kama kuna starlet ya milion 2 naweza pata
Haa kama ndoto zako ni Gari jitahidi ujichangishe atleast mill4.5 iyo ulionayo utapata gari la mtu ambalo ni crepa litakuumiza mnnoo
 
nauliza kama kuna starlet ya milion 2 naweza pata
Unapata. Lakini running and service cost itakua kubwa sana. Tafuta 3.5 hadi 4M hautajuta.

Utapata Starlet, Vitz, Passo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…