Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WhyOoh my...am so jealous
Wa mtu???Nzuri best za wewe
Jamani pm namba nikutumie chochoteHapa nna njaa sijala tangu asubuhi hebu niwezeshe basi hata buku mbili
WeweWa mtu nani
Ukielewa utanijibuKifupi sijaelewa swali lako
PmKifupi sijaelewa swali lako
Aigoo
Hongera kwa kujifungua salama...Habari Great thinkers,
Nimewamisimooo..
Ni muda sijaingia hapa natumaini mko poa. Asante kwa mliokuwa mnanimisi, asante kwa mliokuwa mnaniuliza na wengine mlikuja PM. Ninyi niliokuta meseji zenu najua ninyi tu ndio mnanipenda kwa dhati teh teh..(jokes).
Ila mwenzenu nimekuwa mshamba kwenye hii Jf mpya naomba mnipe muongozo. Ukitaka kumentio jina la mtu unafanyaje? Maana zamani ukitaka kufanya hivyo unaweka @ then jina ila sasa hivi naona kama sio...then emoj mbona hamna? Maana mwanzo nilikuwa napata na nilikuwa natumia simu hi hii.
Naomba mnipe na mabadiliko mengine maana mmmh...
Nawapendaga sana wanachitchat
Pole sanaI don't know
Hapa nna njaa sijala tangu asubuhi hebu niwezeshe basi hata buku mbili