donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Nadhani ungeanzia na vituo vya televisheni idara ya matangazo/marketing vinavyorusha hilo tangazo, watakupa mawasiliano ya marketing agency iliyotengeneza hilo tangazo na hatimaye huyo dada atapatikana;
ukimpata akikurudishia vitu vyako mpige ofa ya bia na kitimoto kidogo huku mkibadilishana mawazo
kwani havina namba ya simu hivyo vitambulisho na atm card angevipeleka kwenye bank yako..
niaje wana jamii? natumaini wakuu wote mpo salama. kubwa langu ni msaada wa kumpata yule dada alieigiza kwenye tangazo la ishi la vunja ukimya zungumza na mwenzio. kuna siku nilipNda nae daladala kwelekea posta bahati mbaya nikaangusha Id yangu na atm card yangu. kwa bahati nzuri yule dada aliokota ivo vitu n kumwambia konda kwamba mwenyewe akipatikana atamrudishia. sasa najaribu kumtrack bila mafanikio so naomba wenye kumfahamu full name or maeneo anapoishi niweze kupata vitu vyangu. asanteni!