donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
niaje wana jamii? natumaini wakuu wote mpo salama. kubwa langu ni msaada wa kumpata yule dada alieigiza kwenye tangazo la ishi la vunja ukimya zungumza na mwenzio. kuna siku nilipNda nae daladala kwelekea posta bahati mbaya nikaangusha Id yangu na atm card yangu. kwa bahati nzuri yule dada aliokota ivo vitu n kumwambia konda kwamba mwenyewe akipatikana atamrudishia. sasa najaribu kumtrack bila mafanikio so naomba wenye kumfahamu full name or maeneo anapoishi niweze kupata vitu vyangu. asanteni!