KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
Habarini zenu!
Jamani niwaombe msaada wa tiba ya tosess zimembana mke wangu hawezi kula wala kunywa kitu ni shida sana! Pls naomba kujua chanzo cha ugonjwa huu! Pia mwenye kujua tiba ya kudumu maana zimekuwa zinaibuka na kupotea kwa muda mrefu sana! MziziMkavu mchango wako ni mhimu sana hapa!
Mbarikiwe wasalaam...!
Jamani niwaombe msaada wa tiba ya tosess zimembana mke wangu hawezi kula wala kunywa kitu ni shida sana! Pls naomba kujua chanzo cha ugonjwa huu! Pia mwenye kujua tiba ya kudumu maana zimekuwa zinaibuka na kupotea kwa muda mrefu sana! MziziMkavu mchango wako ni mhimu sana hapa!
Mbarikiwe wasalaam...!
Last edited by a moderator:
