Huyo lazima awe mme wa mtu huyo, hao ndo wanaolipia nyumba ndogo namna hiyo hata hilo gari lazima huyo jamaa atakuwa kanunua yeye. samahi km ntakuwa nimesema vibaya lkn NYUMBA NDOGO nyingi ni watoto wa kichaga saa hivi na ndio wanaoongoza kutembea na VIBABU
Thanks Triplets. Kula tano hapo kwenye color.Kwa kweli she is very young to be anyone prisoner for money. Halafu, huyo jamaa anadharau, kwani kama babu yake aliuwa hapendi wachaga na alimkataza akaridhia ilikuwaje akamfata vivi wetu in the first place. Aache dharau akaoe kijijini kwao basi.
Thanks Nguli. Ukweli pesa sio care!! But Nguli ukweli upo pale pale, Am already a spoilt Child. just look at this break down
DSTV..... 101,000
RENT......250,000
FUEL......150,000
Hizo ndo Gharama za kuonekana, Tukiachana inabidi nibadili nyumba, atleast nipate ya 120,000/month. and no Dstv.
But I have to do it brother.
hhehehehe!phweeeee, hizi research nyingine mnazifanyia chini ya mwembe?
[/COLOR]
hehehe!mpwa,Vivian tell me ur kidney!! huyu ni kijana au mzee/fisadi kwa kijana anayependa maendeleo angekuuoa na mkasave mkajenga ka geto kenu, na kwa nini wewe ukubaliwe kufanyiwa yote hayo? wewe mshahara wako unafanya nini?? Hata ukimwacha atakayekuja kama ana kamshahara ka TSJ/TSG lazima umpotezee.
Utawasababisha wadogo zako au dada zako wa MOSHI watu wazidi kuwakimbia.
dada Vivian Umri gani huu unauzungumzia??? you are soo young....u know what? am 10 yrs older than u (seriously) and planning my pre nups..... LOL
Kama hana mpango wa baadaye nawe u can plan on moving on lakini UMRI usiwe sababu ! Ama una hofu Dstv itakwatwa???? come on gal! when I was your age...we acha tu hata kuolewa hakukuwahi kunipitia hata ndotoni, am serious!
yeah sana tu......unafiki na uzandiki ni mbaya sana kwenye sekta ya mapenzi........you better take it kwenye politics it can we workuzoefu unathibitisha kwamba watu wote waliowashauri marafiki waachane na wapenzi wao HAWAKUFANIKIWA!WALIISHIA KUAIBIKA
phweeeee, hizi research nyingine mnazifanyia chini ya mwembe?
[/COLOR]
hivi,
kwanin kila mtu anashauri aachane nae?
hehehehe!mpwa una kazi ya kukimbizana na pages,tuko ya kumi na moja wenzioI did'nt know that Shishi! Am thinking of marrying a second wife. Will you marry me? Ujuzi kwenye hiyo red huwa hauzeeki. Yu knoo woram seyying?
Geoff kwani wewe huoni kama huyu bwana anampotezea Vivian muda wake, kama Vivian angekuwa anafagilia hali ya kukaa tu na kuenjoy relationship bila ndoa hapo nisingekuwa na la kusema maana ingekuwa ni makubaliano yao wote wawili, lakini mtu anaye taka kuwa huru ku enjoy yaliyo kwenye ndoa na binti anayetaka kuolewa huku akiwa ameweka wazi nia yake ya kutomuoa huyo binti, huyo ni wa kuachana nae...
ndoa zina mishike mishike yake, siku likitokea la kutokea wataanza ku recall laana ya babu...na kama ndugu na jamaa nao wanaamini kwenye hizo laana ndio kabisaaa
Za laana za mababu eh???? wala mie am just waiting for Mr. Right!!! and I pay all my Bills kwa raha zangu!
idiot!:dhahaha huo ndo ukweli, vijana huwa hawa gharamii kiasi hiki
H ha haaaaa, wamegusa pabaya, project Feb 2010.hhehehehe!
achana nao hawa.
HATERS
H ha haaaaa, wamegusa pabaya, project Feb 2010.
idiot!:d
to hell!....Kimekuuma sana mkuu tehe, ina elekea na wewe among wale wazee mnaolea nini, usitake kumwaribia binti yetu maisha
idiot!:d
Kimekuuma sana mkuu tehe, ina elekea na wewe among wale wazee mnaolea nini, usitake kumwaribia binti yetu maisha
to hell!....
to hell!....