HELP: jinsi ya kubadili NECTA TO CAMBRIGDE GRADES

HELP: jinsi ya kubadili NECTA TO CAMBRIGDE GRADES

Donpela

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2011
Posts
2,040
Reaction score
592
Habari wanajamiii,
nilikuwa nashida kuna ndugu yangu anatakaa kwenda kusomaa United States International University(USIU), sasa amepata matokeo yafutayo form 4, D=7 na C=2(Div 4 point 26) Nilikuwa naomba msaaada wa kubadilisha haya matokeo kuelekea Cambridge ili aweze kuapply Certificate ya USIU.
NOTE: hiko chuo kipo kenya
 
nawasubir apa mkuu..
mana dogo anakaa tu ndani
 
Mkuu angekuwa amepata div 4 ya 33 ningekushauri umepeleke UDOM akasome.
 
Back
Top Bottom