Help plz

Help plz

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,128
Reaction score
21,885
Wakuu salama? Naomba msaada kwa wale wataalam wakuchakachua DSTV,mshua amegoma kabisa kulipia siku hizi ndomana nataka nifanye makaratee. Naomba uni PM ili hawa jamaa wasitusanukie. Shukran wakuu
 
Wakuu salama? Naomba msaada kwa wale wataalam wakuchakachua DSTV,mshua amegoma kabisa kulipia siku hizi ndomana nataka nifanye makaratee. Naomba uni PM ili hawa jamaa wasitusanukie. Shukran wakuu

Kwanza tumia wiki moja au mbili kutafuta Nondo za kujua na uelewe satelite system na inavyofanya kazi. Ukielewa ndo utajua ugumu na urahisi wa jambo unalotaka kufanya na hutalifanya kibabaishaji.
Mfano Satellite TV Basics
HowStuffWorks "Introduction to How Satellite TV Works"

Then ukimaliza tafuta nondo za Televison channel encryption na scrambling na jinsi ya kufanya unscrumbling. Na types of satelited cards. Hiki hasa ndo unataka .

Mwisho wa siku unaweza usifanikiwe au ukafanikiwa kupata channel za free tu ambazo hupati sasa.but cha muhimu utakuwa umeelimika.
 
Back
Top Bottom