Minkya
Member
- Nov 12, 2012
- 29
- 5
Habari wadau,
Naombeni msaada wenu katika hili, ninafanya kazi kwenye mazingira ya baharini sana na tupo kwenye chombo
ambacho ni kama meli lakini iki kimekua designed kwa ajili ya uchimbaji tu wa baharini ni 'semi-sub drilling rig'
sasa kwa kweli haipo stable kabisa sanasana ikiwa kwenye mazingira ya mawimbi makubwa ya baharini na
upepo huwa inaumizwa sana kufikia mahali ata ukikaa ofisini hauwezi kutulia sehemu moja kiti kitakua
kinayumbishwa kupita maelezo.
Nina mfanyakazi mwenzangu ameanza kazi karibuni tu na si mtu wa baharini sana, hii hali imemsababishia sea
sickness yaani ni anajisikia kizungu zungu kupita kawaida na tumbo linavurugika sana lakini haja-'drive' ata kdg
mpka sasa ila anasema tumbo liko ovyo sana, pia ana kichefuchef sana na anajisikia kiujumla uncomfortable,
sasa kazi zinatakiwa ziendelee kufanyika kpnd iki kwa hyo inabdi sisi tulio karibu ndo tuhangaike.... medical
officer aliyepo uku amempa dawa za kutuliza maumivu tu (paracetamo) na kupunguza kichefuchefu ila bado
anajisikia vibaya sana.
ni matumaini yangu umu kuna wataalamu zaidi, tafadhali....Asanteni sana!
Naombeni msaada wenu katika hili, ninafanya kazi kwenye mazingira ya baharini sana na tupo kwenye chombo
ambacho ni kama meli lakini iki kimekua designed kwa ajili ya uchimbaji tu wa baharini ni 'semi-sub drilling rig'
sasa kwa kweli haipo stable kabisa sanasana ikiwa kwenye mazingira ya mawimbi makubwa ya baharini na
upepo huwa inaumizwa sana kufikia mahali ata ukikaa ofisini hauwezi kutulia sehemu moja kiti kitakua
kinayumbishwa kupita maelezo.
Nina mfanyakazi mwenzangu ameanza kazi karibuni tu na si mtu wa baharini sana, hii hali imemsababishia sea
sickness yaani ni anajisikia kizungu zungu kupita kawaida na tumbo linavurugika sana lakini haja-'drive' ata kdg
mpka sasa ila anasema tumbo liko ovyo sana, pia ana kichefuchef sana na anajisikia kiujumla uncomfortable,
sasa kazi zinatakiwa ziendelee kufanyika kpnd iki kwa hyo inabdi sisi tulio karibu ndo tuhangaike.... medical
officer aliyepo uku amempa dawa za kutuliza maumivu tu (paracetamo) na kupunguza kichefuchefu ila bado
anajisikia vibaya sana.
ni matumaini yangu umu kuna wataalamu zaidi, tafadhali....Asanteni sana!