Help (ushauri)





Arafat naamini huo ulikua ushauri tosha. Akiufanyia kazi utamfaa.
 
Nashukuru kwa ushauri nitayatendea kazi moja baada ya lingine ili kung'amua ukweli. Pole na samahani kwa wale niliowaboa kwa rangi, but naomba mtambue kuwa kila mmoja anatatizo na rangi flan, me huwa nashindwa kabisa kuona some text. but when its red its clearly to me Samahani sana ngoja nijaribu kuchek rangi nyingine ambayo naweza ona bila prob. Kiukweli inaumiza kichwa....
 

Na color ndugu hebu iweke nyeusi basi kha...............
 
Jaman nina mpenzi wangu ambaye tunaishi mbali naye me niko mkoa mwingine na yeye mkoa mwingine tuliachana miaka minne iliyopta baada ya kucheza mechi za utotoni bila kujari kinga na kumasababishia ujauzito, uliperekea ajifungue mtoto wa kiume, Mwanzo alikuwa ataki hata kunisikia lakini jinsi siku zilivyoluwa zikienda akawa anapunguza ukali atimaye akanisamehe kwa yote na kukubali kuwa nami tena, Tatizo ni kwamba kama wiki mbili hivi zilizopita alikuwa akinibeep sana siku hiyo, lakini baadae nilipompigia akawa anakata simu, na baadae akanitumia sms kuwa anitaki na kunitukana japo sio matusi ya nguoni ila yalikuwa na kunikejeri, mpaka usiku akawa anaitumia sms za kunisisitiza kuwa anitaki tena, nami kwa upole nikaamua kuacha kumbembeleza na kukaa kimya. Asubuhi ilipofika akanipigia simu kama mara tatu sikupokea lakini, Baadae nikaamua kupokea baada ya kuona anapiga sana simu nilipopokea simu ikawa tofauti akawa anaongea kama awali tulivyokuwa na kuapiza kuwa ayuo tayari kunikosa kwa khali yoyote ile. Je ni Kweli huyu mtu ananipenda au ndo anataka niumiza mana mwenyewe nimemuuliza anasema alikuwa anajiraribu aone nitachukua aumuzi gani. Sasa hivi namuogopa sana mana anaweza nisababishia maumivu makali sana ya Moyo, je nifanyeje wadau I'm in hard time.........
 
Jaman nina mpenzi wangu ambaye tunaishi mbali naye me niko mkoa mwingine na yeye mkoa mwingine tuliachana miaka minne iliyopta baada ya kucheza mechi za utotoni bila kujari kinga na kumasababishia ujauzito, uliperekea ajifungue mtoto wa kiume, Mwanzo alikuwa ataki hata kunisikia lakini jinsi siku zilivyoluwa zikienda akawa anapunguza ukali atimaye akanisamehe kwa yote na kukubali kuwa nami tena, Tatizo ni kwamba kama wiki mbili hivi zilizopita alikuwa akinibeep sana siku hiyo, lakini baadae nilipompigia akawa anakata simu, na baadae akanitumia sms kuwa anitaki na kunitukana japo sio matusi ya nguoni ila yalikuwa na kunikejeri, mpaka usiku akawa anaitumia sms za kunisisitiza kuwa anitaki tena, nami kwa upole nikaamua kuacha kumbembeleza na kukaa kimya. Asubuhi ilipofika akanipigia simu kama mara tatu sikupokea lakini, Baadae nikaamua kupokea baada ya kuona anapiga sana simu nilipopokea simu ikawa tofauti akawa anaongea kama awali tulivyokuwa na kuapiza kuwa ayuo tayari kunikosa kwa khali yoyote ile. Je ni Kweli huyu mtu ananipenda au ndo anataka niumiza mana mwenyewe nimemuuliza anasema alikuwa ananijaribu aone nitachukua aumuzi gani. Sasa hivi namuogopa sana mana anaweza nisababishia maumivu makali sana ya Moyo, je nifanyeje wadau I'm in hard time.........
 

Duh mshikaji ndo umeamua kuweka mara mbili kwa hasira au???? Pole kama nimekukwaza sio nia yangu macho yangu kimeo rangi inaumiza sana. SAMAHANI
 
Huyo mwanamke wako mjanja ,labda alikuwa na mwanaume mwingine akamwambia huyu ni mzazi mwenzangu ananisumbua kwa hiyo ikabidi akutumie hizo msg za kukukashfu kumridhisha bwanake, cha muhimu wewe angalia mtoto tu huyo mwache kwanza yakimkuta atakutafuta
 
Kisasi ni Mungu, ila sisi tumeamua kukishika mkononi.. Ebu mchunguze huyo, anatafuta jinia urudi halafu akuteme., Kama ana nia hiyo, ongea na Mungu wako bila hata kuwambia atakaa kimya halafu ubaki kulea mtoto wenu.

Mwenyezi Mungu awatie nguvu, kama mnapenda mjenge familia bora, tayari mna mtoto kuna watu wengine wanatafuta watoto hawapati nyie mnataka kumfanya yatima mtoto wenu kulelewa na single parent.
 
Inawezekana kabisa aliyekuwa anaku-bip na kutuma sms siyo yeye, mambo ya mitandao haya......... angekuwa yeye basi angepokea simu ulipokuwa unampigia. kuna siku nakumbuka niliwahi kuchat na mtu, nadhani ni fulani kumbe siyo yeye........ kwa bahati nzuri sikuandika chochote ambacho kilimkwaza, na kila alikokuwa ananipeleka nilifanikiwa kumtoka, baadae nikaamua kumpigia, hakupokea. kesho yake nikapiga, akapokea na hakuwa anakumbuka kabisa kuwa jana yake tulichat................. liangalie hili pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…