TUPO PAMOJA DE NOVO!Mze wa pond,
you have driven me into tears!!!
I am seeing a wonderful spirit ya solidarity na deep brotherhood kila siku iendayo kwa mungu
Geoff--- usibadilike, nimepata details na tuko pamoja..
tupo pamoja!Pole kwa msiba huu mkubwa. Mungu ailaze roho ya marehemu pema peponi. Amina.
pamoja hommie!....
naamini alikupigia pj..!kimsingi anatamani sana kukufahamu.ANASHUKURU SANA!
TUPO PAMOJA
pamojaaz!Yes mkubwa, alinipigia wakati huo walikuwa mikumi, nikampa moyo sana katika wakati huu mgumu wa msiba wa baba yake.......for real niliguswa sana na huu msiba wa PJ kwa kweli hasa nikikumbuka alichokifanya kule AR kny msiba wa SIPO.....!
Mungu ampe nguvu........!
pamoja mkuu!....Pole sana!
mkuu askofu!....
Nimekupata na ninashukuru kwa mchango wako...!nitaufikisha kwa muhusika mapema sana
Wakuu,
IAM SHOCKED!
HARDEST TIME ON EARTH FOR ME!
Nimepata habari sasa hv nikiwa ofisini, babaangu mzazi amefariki huko Dar hosptal ya Amana.
Niko KWENYE MIPANGO YA SAFARI KUJA DAR, mIpango ya mazishi inafayika KITUNDA, then safari kwenda kwetu Mbeya!
This is jst for info!