Nice message to PJ Mama JoePole PJ, its time now to act your part. Be a good even better parent as he was to you. Try to remember the sleepless nights he had when you were sick, when you needed fees, when you dissappointed him and do your part to you family. Thats what will easy the pain of missing him. God be with you and family at this hard time.
Two days ago nilifanikiwa kuongea naye ingawa ni kweli kuna tatizo kidogo la networkWakuu,hadi leo hii pj hapatikani hewani...!aliwah kunipigia tukaongea kwa tabu sana.inaonekana huko mbeya mitandao ya tigo inasuasua.pj,popote ulipo au kama unasoma post naomba tuwasiliane.nina rambirambi zako nyingi kweli
Two days ago nilifanikiwa kuongea naye ingawa ni kweli kuna tatizo kidogo la network
yah sure hata mimi amenitext soon ataonekana jukwaani japo for few minutes nitafurahi sana niki-interact naye kabla ya muda wa net kuisha hapa, so far namshukuru MUNGU kwamba hajambo yeye na familia tuendeleee kumwombea huyu brajamani waheshimiwa nimeongea na PJ sasa hivi,
yupo njiani anarudi mjini...!
atakuwa jamvini hivi punde akiingia mbeya mjini