Ipo hivo Mimi rafik yang kapata awam ya 4 na kaangalia chuon NIThamna kitu kama icho mkuu,majina ya vyuon ni batch tu kwa wale ambao hawajapata allocation za mikopo na walipata mikopo kwenye batch za helsb ya kwanza,pili na tatu! hawawez kutuma chuon wakati hawajaweka kitu kwenye website yao
jumla mangapiYameshawekwa kwa website
Hakuna majina kwenye website
Screenshot hiyo.ingia kwenye website angalia sehemu za batch pale chin utakuta batch 4Mbna hayafunguk?
Ila majina yapo 2000+ sijui kwanini hawatoi yote na mida inasogea wenzetu wanaendelea na masomo daaahWrite your reply...vp nduguwameshafungua dirisha la rufaa sie wenyemikosi tujalibu na rufaa lamda
yani ata sielew wanatumia vigezo gan kutoa hizo batch jaman sie wengine tumesoma kuunga unga leo hii mnakuja twambia tunauwezo wa kujisomesha duh mungu atatulipia atuna la kufanya wanyonge sie tunapumzika nyumbanIla majina yapo 2000+ sijui kwanini hawatoi yote na mida inasogea wenzetu wanaendelea na masomo daaah
aaaaaaaahWale wa mazimbu na sua main campus karibuni Sana
Asante mkuu,nlkua namchek dogo naona kapata.Yaangalien hapa