Tetesi: HELSB BATCH 4

Tetesi: HELSB BATCH 4

I
hamna kitu kama icho mkuu,majina ya vyuon ni batch tu kwa wale ambao hawajapata allocation za mikopo na walipata mikopo kwenye batch za helsb ya kwanza,pili na tatu! hawawez kutuma chuon wakati hawajaweka kitu kwenye website yao
Ipo hivo Mimi rafik yang kapata awam ya 4 na kaangalia chuon NIT
 

Attachments

  • Screenshot_2018-11-19-14-26-03.png
    Screenshot_2018-11-19-14-26-03.png
    52.3 KB · Views: 54
Ndo kwangu imegoma kufunguka,nmeingia kweny web yao heslb...
 
Write your reply...wenye kujua ndugu zangu dirisha la rufaa linafunguliwa lini nasi tujaribu kukata rufaa tuone kama ndoto zetu zitakamilika au lah
 
Ila majina yapo 2000+ sijui kwanini hawatoi yote na mida inasogea wenzetu wanaendelea na masomo daaah
yani ata sielew wanatumia vigezo gan kutoa hizo batch jaman sie wengine tumesoma kuunga unga leo hii mnakuja twambia tunauwezo wa kujisomesha duh mungu atatulipia atuna la kufanya wanyonge sie tunapumzika nyumban
 
Jaman hii serikali hii hakika imepoteza mvuto kwa vijana wengi hususan waanga wa mikopo yaan mtu hana wazazi na kasoma kwa kuungaunga lkn bado mkopo anakosa si uhuni huu ndug zangu ndo maana vijan wanaamua kuingia ktk dili haramu ili kujipatia kipato sio kwa hali hii ndug zangu wengine kwao safi lkn mkopo kapata hiv hawa mashetan wanatumia vigezo gani lkn mwaka jana taasisi ya tssf ilianzisha programu ya kutoa mikopo kwa wanafunz lkn serikali hii kupitia wizara ya elimu waliipiga stop kutoa misaada ya mikopo leo watoto hususan wa kaya masikin wanalia hii serikali bila hiana kwa hali hii vijana wengi watakichukia chama tawala toka mioyon mwao.
 
Huyu mpuuzi badru anafany kaz gan rais hamuon? Au yaan watu wanachelewa vyuon kisa bodi wanatoa majina kwa kujisikia na kushauriana na mahawala wao watoe lini ndo wanatoa si uhuni huu
 
Wakuu.! Mwenye allocation ya watu waliopata mkopo batch ya 4 msaada naomba aitume nyavini. Ahsante
 
Back
Top Bottom