II gook
Member
- Jan 24, 2014
- 89
- 17
Habari za asubuhi kwa wanajukwaa
Ninae mdogo wangu alirudia kufanya maombi ya chuo kwa huu mwaka ikiwa pamoja na bodi ya mkopo... lakini kadri muda unavoenda kile chuo chake kimemuita kuendelea na mwaka wa pili maana alipata tatizo flani hiv.... je anaweza endelea pewa mkopo ikiwa alishaa aply upya . na alirudisha ile 25% ili akubaluwe mkopo tena
Ahsanteni
Ninae mdogo wangu alirudia kufanya maombi ya chuo kwa huu mwaka ikiwa pamoja na bodi ya mkopo... lakini kadri muda unavoenda kile chuo chake kimemuita kuendelea na mwaka wa pili maana alipata tatizo flani hiv.... je anaweza endelea pewa mkopo ikiwa alishaa aply upya . na alirudisha ile 25% ili akubaluwe mkopo tena
Ahsanteni