Helsb na mwaka wa pili waliokosa mkopo mwaka wa masomo 2012/2013

Helsb na mwaka wa pili waliokosa mkopo mwaka wa masomo 2012/2013

Makbel

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2011
Posts
774
Reaction score
167
Hongereni HELSB kwa kuendelea kutunyima mikopo sisi ambao tuliomba mwaka jana na kutunyima na tumekata rufaa pia rufaa zetu zikatupwa bila kutolewa maelezo. Tumejaribu mwaka huu tukiwa na attach zote kutoka vyuoni lakini cha kusikitisha bado tumekosa hiyo mikopo. Sasa basi hizi lawama za sisi kuendelea kupata maambukizi ya Ukimwi mavyuoni kamwe hamuwezi kuziepuka kwa sababu ya haya mnayotufanyia kwa kutunyima mikopo wakati ni haki yetu kikatiba kwa sisi tusio na uwezo wa kujilipia ada. Hatujui hatma ya maendeleo yetu vyuoni tunavyosoma kwa sasa maana maisha ya vyuoni na gharama zake ni balaa sana. Mwisho tunaomba mtuambie sisi ambao mmetunyima mkopo kwa first year mwaka wa masomo 2012/2013 hatuna haki ya kupata mikopo tena kwa miaka iliyobakia ya masomo? Nimeuliza hivyo maana hatuoni sehemu yetu maalum ya kujaza fomu za OLAS kwa sisi tuliopo vyuoni na hatuna mikopo na tunaomba sawa sawa na first year wanaotarajiwa kuingia vyuoni. Bila shaka mmemielewa na mtafikiria kuwa na sisi ni Watanzania tunaostahili kukopeshwa na si hivi mnavyotufanyia. Ni mimi Afiswa Amir Ngayana kutoka Muslim University of Morogoro. P0728.0001.2001
 
Poleni sana wadau!! nakumbuka kauli za "JJ Mnyika kuwa 2mefika hapa 2lipo kutokana na udhaifu wa rais na serikal ya chama cha mapinduzi" ushaur: kama bodi wanawazingua bac juwen haki zenu zimechukuliwa,cha kufanya kazen buti kama mlivyofanya mwaka wa masomo ulopita bt msilia kwa kudai UKIMWI utawamaliza kwan bado unayo nguvu ya kusema NO UKIMWI nahtaji nitimize malengo yangu, Mungu atawasaidia pale mtakapojinyenyekeza miguni pake
 
Mkuu Hawaii jamaa hakika ni watu wa ajabu sana Hatujui wanatufikiriaje sisi walalahoi tuliokosa mikopo mwaka jana na mwaka huu pia hakueleweki.
 
sijui hata ni vigezo gani huwa vinazngatiwa ktk mgawanyo wa mkopo,kuna watoto wa maprofesa tena wamesoma uganda na nchi nyngne hukoo ktk elim yao ya nursery mpaka o level,na badoo wamepewa mkopo,wale kina st.kayumbaa ndo wengi wamekosaa mkopo,sijui haki imepotelea kwenye mlango upi wa kiza
 
mkuu pole kwa hilo,ila endapo unaona una vigezo nenda bodi ukawaulize sabab ya kukunyima mkopo,kama sabab ya mcng ikikosekana fuatilia sana tu naiman utapata,mim nina mfano wa washikaji zangu kama zaid ya nane wamefanya hvo mwaka jana na wakapewa tena kuanzia asilimia 50,kifup uckate tamaa na usiache kumwomba Mungu
 
mkuu pole kwa hilo,ila endapo unaona una vigezo nenda bodi ukawaulize sabab ya kukunyima mkopo,kama sabab ya mcng ikikosekana fuatilia sana tu naiman utapata,mim nina mfano wa washikaji zangu kama zaid ya nane wamefanya hvo mwaka jana na wakapewa tena kuanzia asilimia 50,kifup uckate tamaa na usiache kumwomba Mungu

Akhsante kiongozi Jumatatu kiguu na njia mpaka Bodi nijue hatma yangu.
 
sijui hata ni vigezo gani huwa vinazngatiwa ktk mgawanyo wa mkopo,kuna watoto wa maprofesa tena wamesoma uganda na nchi nyngne hukoo ktk elim yao ya nursery mpaka o level,na badoo wamepewa mkopo,wale kina st.kayumbaa ndo wengi wamekosaa mkopo,sijui haki imepotelea kwenye mlango upi wa kiza

Naona hapa 10% zinafanya kazi yake ipasavyo.
 
Mbaya zaidi utakuta mtoto wa kigogo baba yake mshahara ml 9 kwa mwwzi na mkopo kapata...mazafanta kabisa hawa
 
Ila dawa yao ni moja tu..ukipata fursa ya kufanya kazi serikalini unaiba/fisadi mpk gharama zako zirudi
 
Dah kaka pole sana hawa jamaa kiukweli hata hawaeleweki inaumiza sana ndio hivo serikali yetu hiyo
 
Hilo halikwepeki mkuu haiwezekani mimi mlalahoi nakosa hata 0%
Ila dawa yao ni moja tu..ukipata fursa ya kufanya kazi serikalini unaiba/fisadi mpk gharama zako zirudi
 
Thanx kaka huu mkopo inaonekana una harufu ya rushwa na kujuana sana.
Dah kaka pole sana hawa jamaa kiukweli hata hawaeleweki inaumiza sana ndio hivo serikali yetu hiyo
 
Back
Top Bottom