Tetesi: Helsb waliochaguliwa kupata mkopo

Hongera sana..unaandika vizuri pia unaona mbali sana
 
Ni kwel me kilaza ongera ww mjuaji
 
Jamaa...nakuona unakula zoezi baada ya kujiandikisha elimu ya KKK ( kusoma, kuandika na kuhesabu) [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Natanguiza shukran kwanza pili nauliza hvi hawa maselikali yanatutakia nn mtaan mpaka sasa amna mikopo
Bila shaka utakuwa na ufaulu hafifu,wenye akili hawawezi kuandika upuuzi kama wako.Serikali iko makini usidhani swala la kufanya upembuzi yakinifu ni rahisi kama unavofikiri.Muda ukifika waliopata mikopo watajulikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…