Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natanguiza shukran kwanza pili nauliza hvi hawa maselikali yanatutakia nn mtaan mpaka sasa amna mikopo
mmmmmhNatanguiza shukran kwanza pili nauliza hvi hawa maselikali yanatutakia nn mtaan mpaka sasa amna mikopo
Natanguiza shukran kwanza pili nauliza hvi hawa maselikali yanatutakia nn mtaan mpaka sasa amna mikopo
mwanangu unatuchafua HKL KWAAJILI YA PUMBA ZA JAMAA??Kwani chuoni ndo utaenda kufia uko ,, maana utake usitake utarudi tu mtaani maisha yako yote ,, ndo shida ya HKL
hahahahaaaaaaaah isee tumpeleke kwa mwl christopher mwakasegeFikra zako zinatakiwa zikombolewe brother
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwani chuoni ndo utaenda kufia uko ,, maana utake usitake utarudi tu mtaani maisha yako yote ,, ndo shida ya HKL
Loan boardmajina ya waliokosea kuomba mkopo nayapatajee????
majina ya waliokosea kuomba mkopo nayapatajee????
Mpaka 2020Natanguiza shukran kwanza pili nauliza hvi hawa maselikali yanatutakia nn mtaan mpaka sasa amna mikopo
Bila shaka utakuwa na ufaulu hafifu,wenye akili hawawezi kuandika upuuzi kama wako.Serikali iko makini usidhani swala la kufanya upembuzi yakinifu ni rahisi kama unavofikiri.Muda ukifika waliopata mikopo watajulikana.Natanguiza shukran kwanza pili nauliza hvi hawa maselikali yanatutakia nn mtaan mpaka sasa amna mikopo