kumbe tupo weni eeeh jamaa hafai kabisaa na matusi yake!
Kamuaibisha mamake,babake, wajomba zake na dada zake sio watz wote
<br /><font color="#ff0000"><font size="3"><span style="font-family: century gothic">Mbaya zaidi kila akisema anapuliza marashi juu fffffffffffffff, anaangali maru maru kama nini sijui, heri yule msechu japo kimombo hajui lakini he is gentleman.</span></font></font>
<br />
<br />
halafu eti amefunga
Nadhani sasa watu waone umuhimu wa kusoma shuile...si kwa ajili ya vyetu tu bali kwa maandalizi ya kupambana na maisha.
Huyu jamaa nasikia alisoma Coast SS pale Tanga. Pale ni kijiwa cha kumalizia vidato.....
Mimi yangu macho...hata hivyo tuwapeleke watoto shule na tuhakikishe wanapata elimu, itawasaidia na especially kudeal na chamgamoto mbali mbali za maisha!!
<br />Amefunga?!!!<br />
Mbona anajitesa, au ana-save vijisenti alivyogawana na wahindi )wahindi wanachukua 90% yeye 10% katika movies na viji-single vyake).<br />
Labda kama anabana matumizi.<br />
<br />
Hivi ana girlfriend (future wife)? Au ana mtu wa kumlia pesa tu!<br />
Najaribu kujiuliza anaishi naye vipi!
Hapo kwenye red kuna ukweli kuhusu hemed lakin The boss..si kwa wasanii wote..kuna madogo wana talent kweli kwenye fani tofauti
lakini media haiwatendei haki..Heb waskilize ma mc kama Roma,God zillah,Jos mtambo....na wengine wengi .....
kwani amesema hayo maneno wapi?kwenye shindano?au media za kenya?
kama amesema kwao huko kinondoni sioni tabu..
<br />Anamponda yule jaji,aibu,anasema ana singo na muvi,muvi yenyewe ya kibongo haina be wala che.....uozo tu.ametuaibisha sana najuta hata kupoteza kura yangu.
<br />Kamuaibisha mamake,babake, wajomba zake na dada zake sio watz wote
<br /><br />Bucad; cha ajabu nini hemed kumchana ian? Vile ni vijimambo tu vya kuchangamsha shindano ili watu kama sisi tupate cha kujadili kama hivi tunavyodalili na sio suala la utovu wa nidhamu!
<br /><a href="http://www.youtube.com/watch?v=2Sv3QjA0SBA&feature=player_embedded" target="_blank">http://www.youtube.com/watch?v=2Sv3QjA0SBA&feature=player_embedded</a>
<br /><br /><br />
<br /><br />
halafu eti amefunga