Hemed amponda jaji Ian Tusker Project Fame

Hemed amponda jaji Ian Tusker Project Fame

kumbe tupo weni eeeh jamaa hafai kabisaa na matusi yake!

Mbaya zaidi kila akisema anapuliza marashi juu fffffffffffffff, anaangali maru maru kama nini sijui, heri yule msechu japo kimombo hajui lakini he is gentleman.
 
<font color="#ff0000"><font size="3"><span style="font-family: century gothic">Mbaya zaidi kila akisema anapuliza marashi juu fffffffffffffff, anaangali maru maru kama nini sijui, heri yule msechu japo kimombo hajui lakini he is gentleman.</span></font></font>
<br />
<br />
what is language bwana???? Cha muhimu ni namna gani una behave mbele ya watu.
Msechu na wimbo wake RELAX waliwakilisha ipasavyo
 
Hemed nilijua tangu mwanzo kuwa ni ovyoovyo kama utumbo wa nguruwe,msechu tunampongeza sana kwa kuiwakilisha TZ,msechu pokea shukrani nyingi sana
 
<br />
<br />
halafu eti amefunga

Amefunga?!!!
Mbona anajitesa, au ana-save vijisenti alivyogawana na wahindi )wahindi wanachukua 90% yeye 10% katika movies na viji-single vyake).
Labda kama anabana matumizi.

Hivi ana girlfriend (future wife)? Au ana mtu wa kumlia pesa tu!
Najaribu kujiuliza anaishi naye vipi!
 
Nadhani sasa watu waone umuhimu wa kusoma shuile...si kwa ajili ya vyetu tu bali kwa maandalizi ya kupambana na maisha.

Huyu jamaa nasikia alisoma Coast SS pale Tanga. Pale ni kijiwa cha kumalizia vidato.....

Mimi yangu macho...hata hivyo tuwapeleke watoto shule na tuhakikishe wanapata elimu, itawasaidia na especially kudeal na chamgamoto mbali mbali za maisha!!

Hii haihitaji mwongozo wa speker naunga mkono hoja, pia umefika wakati sasa kwa zile familia zenye maadili na zina watoto wana vipaji lakini zinawanyima watoto wao future zao pamoja na vipaji vyao kwa kuwang`ang`aniza wasome sana tuu, wakati vijana hao wanavipaji vikubwa tuu ambavyo vingiweza kuwapa maisha sio wao peke yao hata kwa wazazi wao ....mambo kama haya ya aibu yalionyeshwa na mtoto huyu aliokosa malezi usingeyaona.... aibu kubwa kwa nnchi yetu na majaji wa hapa kwetu waliomfikisha hemedi pale......but any way mtoto ni kioo cha wazazi.....sasa wale ni wazazi wake na ndio nyumbani kwao wanavyoishi haina haja ya kuuliza .....!!!!!
 
Amefunga?!!!<br />
Mbona anajitesa, au ana-save vijisenti alivyogawana na wahindi )wahindi wanachukua 90% yeye 10% katika movies na viji-single vyake).<br />
Labda kama anabana matumizi.<br />
<br />
Hivi ana girlfriend (future wife)? Au ana mtu wa kumlia pesa tu!<br />
Najaribu kujiuliza anaishi naye vipi!
<br />
<br />
hayajui yote haya
 
Hapo kwenye red kuna ukweli kuhusu hemed lakin The boss..si kwa wasanii wote..kuna madogo wana talent kweli kwenye fani tofauti
lakini media haiwatendei haki..Heb waskilize ma mc kama Roma,God zillah,Jos mtambo....na wengine wengi .....

Huyu ...Roma unayemwongea hapa huwezi kumfaninsha mtu kama Hemedi...kwanza ni Mtoto amelelewa na wazazi walio na malezi...angalia hata uwezo kichwani Dogo roma yupo UDSM Computer science....yule mpuuzi Hemedi jee? Umefika wakati....hawa wanaochagua kungalia vitu vingi sana wakati wa kuchagua wawakilishi....sio kujibea bea tuuu hata mitoto isiyo na adabu....mpuuzi huyu amesahau kuwa hawa Tusker ndio wamemfikisha hapa alipo leo!!!!!1
 
kwani amesema hayo maneno wapi?kwenye shindano?au media za kenya?

kama amesema kwao huko kinondoni sioni tabu..

Kasemea kwenye mashindano mkuu, wakati amemailiza kimba jaji akapewa nafasi yaku comment
Yeye Hemedi akamalizia kwa kauli hizo umati ukiwa umejaa kwenye ukumbi
 
Anamponda yule jaji,aibu,anasema ana singo na muvi,muvi yenyewe ya kibongo haina be wala che.....uozo tu.ametuaibisha sana najuta hata kupoteza kura yangu.
<br />
<br />
Hemed ignorant kweli. Ian muimbaji mzuri na pia actor(Luninga na theatre).Advice Hemedi to watch Kenyan Soap Opera na angalua mara moja a check play pale Nairobi Theatre. Jamaa yupo juu.
 
Bucad; cha ajabu nini hemed kumchana ian? Vile ni vijimambo tu vya kuchangamsha shindano ili watu kama sisi tupate cha kujadili kama hivi tunavyodalili na sio suala la utovu wa nidhamu!
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
I agree with u, kama mtakumbuka kwenye Final ya mwaka ule aliposhinda Alpha washiriki walipewa nafasi ya kusema anything they wanted abt Judge Ian mara baada ya yeye kuimba.
Na ile show ya jana like all shows za season hii ya T.P.F. ilirekodiwa though kwa walioangalia thru TBC wao {TBC} waliandika Live ila ukweli ni kuwa Show ilikuwa recorded na ilianza kurushwa saa moja na nusu kupitia CITIZEN TV {TBC walianza saa 2}.
Kama aliyosema Hemedi hayakupangwa, au waandaaji waliona ni udhalilishaji wangefanya editing kabla hawajarusha hewani.
 
unajua hizi media zetu nazo zinakuza sana mambo..mtu hana talent na hayuko genuine na kazi lakin publications kibao!! sasa dogo anaona ni celebrity tayari..ndo maana muda kidogo tu wasanii wetu choka mbaya!
 
Ila yule judge nae huwa anaponda sometimes mpaka anakera!
 
Back
Top Bottom