Hemed kivuyo

Hemed kivuyo

kau

Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
80
Reaction score
16
Jaman wanaharakati ningependa kuwakilisha hoja yangu kuhusu huyu mtangazaji wa ITV....
Kiukweli ni kati ya watangazaji wabunifu sana mpaka anavutia anaporipoti...
namtakia mafanikio mema katika safari yake ya utangazaji.....
 
Hakika hasa kwenye habari za michezo,nilipenda alivyoriport that day tumefungwa na zambia

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
ana undugu na Rehema Kivuyo? mamaaa rehema wamuacheee
 
Anasoma sana vitabu vya kiswahili,hakuna kama yeye tanzania. Huwa napenda habari zote atangaze yeye tu.
 
Wanyamaa warefu wa jangwan,wenye wendo wa madaha...amdani....malizia jamaa na mkubali 79
 
huyo rehema ndo nani hapa tz?au anajulikana huko kwenu kinondoni tu.

bob,uyo mtoto rehema wa kivuyo mumuache,yani ni mkali dunia nzima...ata ukitimba nae unyamani washikaji discipline.
 
huku msimbazi yamkini si shwari wanachama wameandamana mbaka makao makuu wengine wakimwaka matozi
 
huku msimbazi yamkini si shwari wanachama wameandamana mbaka makao makuu wengine wakimwaka matozi

kinachotafsiliwa ndani ya simba ni pembe la kale lisilokua na thamani utatoa nini hata uwe bora
 
Back
Top Bottom