Hemed kuwakilisha Tanzania Big brother

Hemed kuwakilisha Tanzania Big brother

out of 40 million people,kwani nini tupeleke hilo bwabwa???kwani watu wamekosekana?

Kwani yeye sio mtu!! Hao waliopelekwa miaka ya nyuma wanatofauti gani na Hemed!?
 
Kwani yeye sio mtu!! Hao waliopelekwa miaka ya nyuma wanatofauti gani na Hemed!?
Umemaliza wangu!!!huyo jestina kama ni demu kweli atakuwa ana maradhi ya kunuka kwapa kwahiyo ana allergy na watanashati na waliobarikiwa muonekano na kipaji!!!
 
Ni mmojawapo wa washiriki ktk Bongo Movies mbalimbali.....Pia huwa anaimba-imba na kufanya featuring ktk baadhi ya nyimbo za wenzake...Wanaomkubali huwa wanaamini kwamba ni yanki anayependa na kuwatenda Mademu...Lakini upande mwingine wa Shilingi huwa unamlaumu sana Ahmed Shabiby (sio Merrey Balhabou ) kwamba anakaharibu haka ka-kijana.
Hebu fafanua anamharibu vipi ?
 
Huo ni ushenzi.......!!!!!!!!!!
 
Tutaenda ku experiance the difference kwa kupeleka "anti phd"..
 
sasa Hemedi akienda Big Brother Africa atamchumkua nani kama Partner wake maana Mwaka huu lazima utafute partner wa kwenda nae mjengoni. Tusubiri tuone huenda akamchukua Pedejee Shabiby mzee wa kuchimba k.in.ye.s...after all no problem sheria za South Africa zinaruhusu ndoa za jinsia moja
 
Back
Top Bottom