Hemed Morocco hatoshi kuwa Coach wa Taifa stars AFCON

Hemed Morocco hatoshi kuwa Coach wa Taifa stars AFCON

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Najua Watanzania ni watu wa matukio
Hapa tumefuzu Kwa mbinde na coach Morocco anaonekana shujaa, ila ana mbinu duni akikutana na timu ngumu atapigwa kama ngoma

Tumefuzu lakini Kwa kubahatisha tu
Huko AFCON tunaenda kutia aibu
Tutafungwa magoli si chini ya 5 kila mechi

Timu yetu inacheza kama haina coach

Timu inacheza Kwa hamasa tu
Timu haina muunganiko
Coach Morocco hawezi ku manage wachezaji, ashawahi kugombana na wachezaji wengi akiwemo Dickson Job, Msuva, Samata, Haji Mnoga, Mmobwa n k
TTF tafuta coach mwingine
Muda upo wa kutosha
Msiwe na mihemko wa ushindi wa kufuzu Kwa mbinde

Wasaalam
 
Najua Watanzania ni watu wa matukio
Hapa tumefuzu Kwa mbinde na coach Morocco anaonekana shujaa, ila ana mbinu duni akikutana na timu ngumu atapigwa kama ngoma

Tumefuzu lakini Kwa kubahatisha tu
Huko AFCON tunaenda kutia aibu
Tutafungwa magoli si chini ya 5 kila mechi

Timu yetu inacheza kama haina coach

Timu inacheza Kwa hamasa tu
Timu haina muunganiko
Coach Morocco hawezi ku manage wachezaji, ashawahi kugombana na wachezaji wengi akiwemo Dickson Job, Msuva, Samata, Haji Mnoga, Mmobwa n k
TTF tafuta coach mwingine
Muda upo wa kutosha
Msiwe na mihemko wa ushindi wa kufuzu Kwa mbinde

Wasaalam
Uwezo wa wachezaji ni mdogo mno
 
Timu yetu inahitaji kocha mzawa sababu karibu 90% ya wachezaji ni wa ligi kuu. Nashauri wamchukue Gamondi kabla hajapata timu nyingine, atleast anawajua wachezaji wa bongo.
We jamaa hata hujui ulichoandika. Timu yetu inahitaji mzawa hapo hapo unashauri apewe Gamondi...Huyo Gamondi ni mzawa? Au mmeambiwa kuna stars inatumia sindano?
 
Timu yetu inahitaji kocha mzawa sababu karibu 90% ya wachezaji ni wa ligi kuu. Nashauri wamchukue Gamondi kabla hajapata timu nyingine, atleast anawajua wachezaji wa bongo.
Gamondi si type ya national team coach, so akija ni kama anajiua kiwango
 
Najua Watanzania ni watu wa matukio Hapa tumefuzu Kwa mbinde na coach Morocco anaonekana shujaa, ila ana mbinu duni akikutana na timu ngumu atapigwa kama ngoma Tumefuzu lakini Kwa kubahatisha tu Huko AFCON tunaenda kutia aibu Tutafungwa magoli si chini ya 5 kila mechi Timu yetu inacheza kama haina coach Timu inacheza Kwa hamasa tu Timu haina muunganiko Coach Morocco hawezi ku manage wachezaji, ashawahi kugombana na wachezaji wengi akiwemo Dickson Job, Msuva, Samata, Haji Mnoga, Mmobwa n k TTF tafuta coach mwingine Muda upo wa kutosha Msiwe na mihemko wa ushindi wa kufuzu Kwa mbinde Wasaalam
Kwahiyo akija Klop tutachukua kombe?
 
Wewe ni zwazwa,, bendera fata upepo,,,,, ! Stars imeshinda umeishobokea sio,,,unakuwa kama malaya alieona wallet!
 
Back
Top Bottom