Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana shida kwanini amgomee kocha? Huu ni utovu wa nidhamu, next time morocco amshughulikie mzinze.Mzize hana shida
Uwe unatazama mechi Kwa makini
Usiweke hisia
Huna akiliNina akili nyingi kijana
Ngoja niweke akiba ya maneno muda utaongea....Najua Watanzania ni watu wa matukio
Hapa tumefuzu Kwa mbinde na coach Morocco anaonekana shujaa, ila ana mbinu duni akikutana na timu ngumu atapigwa kama ngoma
Tumefuzu lakini Kwa kubahatisha tu
Huko AFCON tunaenda kutia aibu
Tutafungwa magoli si chini ya 5 kila mechi
Timu yetu inacheza kama haina coach
Timu inacheza Kwa hamasa tu
Timu haina muunganiko
Coach Morocco hawezi ku manage wachezaji, ashawahi kugombana na wachezaji wengi akiwemo Dickson Job, Msuva, Samata, Haji Mnoga, Mmobwa n k
TTF tafuta coach mwingine
Muda upo wa kutosha
Msiwe na mihemko wa ushindi wa kufuzu Kwa mbinde
Wasaalam
Gamondi ni mzawa?Timu yetu inahitaji kocha mzawa sababu karibu 90% ya wachezaji ni wa ligi kuu. Nashauri wamchukue Gamondi kabla hajapata timu nyingine, atleast anawajua wachezaji wa bongo.
Naunga mkono hoja mkuu. Wamchukue Master Gamondi. Moroco hatufikishi popote.Timu yetu inahitaji kocha mzawa sababu karibu 90% ya wachezaji ni wa ligi kuu. Nashauri wamchukue Gamondi kabla hajapata timu nyingine, atleast anawajua wachezaji wa bongo.
Yeah......pia atapata muda wa kula bata, siyo kwa soka la vilabu.Timu yetu inahitaji kocha mzawa sababu karibu 90% ya wachezaji ni wa ligi kuu. Nashauri wamchukue Gamondi kabla hajapata timu nyingine, atleast anawajua wachezaji wa bongo.
Tumuache aende nayoNajua Watanzania ni watu wa matukio
Hapa tumefuzu Kwa mbinde na coach Morocco anaonekana shujaa, ila ana mbinu duni akikutana na timu ngumu atapigwa kama ngoma
Tumefuzu lakini Kwa kubahatisha tu
Huko AFCON tunaenda kutia aibu
Tutafungwa magoli si chini ya 5 kila mechi
Timu yetu inacheza kama haina coach
Timu inacheza Kwa hamasa tu
Timu haina muunganiko
Coach Morocco hawezi ku manage wachezaji, ashawahi kugombana na wachezaji wengi akiwemo Dickson Job, Msuva, Samata, Haji Mnoga, Mmobwa n k
TTF tafuta coach mwingine
Muda upo wa kutosha
Msiwe na mihemko wa ushindi wa kufuzu Kwa mbinde
Wasaalam
Ukimchunguza kwa makini ana aina fulani ya ubaguzi, angalia aina ya wasaidizi wake aliowateuaNajua Watanzania ni watu wa matukio
Hapa tumefuzu Kwa mbinde na coach Morocco anaonekana shujaa, ila ana mbinu duni akikutana na timu ngumu atapigwa kama ngoma
Tumefuzu lakini Kwa kubahatisha tu
Huko AFCON tunaenda kutia aibu
Tutafungwa magoli si chini ya 5 kila mechi
Timu yetu inacheza kama haina coach
Timu inacheza Kwa hamasa tu
Timu haina muunganiko
Coach Morocco hawezi ku manage wachezaji, ashawahi kugombana na wachezaji wengi akiwemo Dickson Job, Msuva, Samata, Haji Mnoga, Mmobwa n k
TTF tafuta coach mwingine
Muda upo wa kutosha
Msiwe na mihemko wa ushindi wa kufuzu Kwa mbinde
Wasaalam
Huyo kocha mwingine ndio atafanya nini?Najua Watanzania ni watu wa matukio
Hapa tumefuzu Kwa mbinde na coach Morocco anaonekana shujaa, ila ana mbinu duni akikutana na timu ngumu atapigwa kama ngoma
Tumefuzu lakini Kwa kubahatisha tu
Huko AFCON tunaenda kutia aibu
Tutafungwa magoli si chini ya 5 kila mechi
Timu yetu inacheza kama haina coach
Timu inacheza Kwa hamasa tu
Timu haina muunganiko
Coach Morocco hawezi ku manage wachezaji, ashawahi kugombana na wachezaji wengi akiwemo Dickson Job, Msuva, Samata, Haji Mnoga, Mmobwa n k
TTF tafuta coach mwingine
Muda upo wa kutosha
Msiwe na mihemko wa ushindi wa kufuzu Kwa mbinde
Wasaalam
Gamondi atatufikisha wapi?Naunga mkono hoja mkuu. Wamchukue Master Gamondi. Moroco hatufikishi popote.