Uwezo wa wachezaji ni mdogo mnoNajua Watanzania ni watu wa matukio
Hapa tumefuzu Kwa mbinde na coach Morocco anaonekana shujaa, ila ana mbinu duni akikutana na timu ngumu atapigwa kama ngoma
Tumefuzu lakini Kwa kubahatisha tu
Huko AFCON tunaenda kutia aibu
Tutafungwa magoli si chini ya 5 kila mechi
Timu yetu inacheza kama haina coach
Timu inacheza Kwa hamasa tu
Timu haina muunganiko
Coach Morocco hawezi ku manage wachezaji, ashawahi kugombana na wachezaji wengi akiwemo Dickson Job, Msuva, Samata, Haji Mnoga, Mmobwa n k
TTF tafuta coach mwingine
Muda upo wa kutosha
Msiwe na mihemko wa ushindi wa kufuzu Kwa mbinde
Wasaalam
Hisia Gani wewe huelewi Nini hapoMzize hana shida
Uwe unatazama mechi Kwa makini
Usiweke hisia
PoaHaya wewe tushakujua rangi yako
We jamaa hata hujui ulichoandika. Timu yetu inahitaji mzawa hapo hapo unashauri apewe Gamondi...Huyo Gamondi ni mzawa? Au mmeambiwa kuna stars inatumia sindano?Timu yetu inahitaji kocha mzawa sababu karibu 90% ya wachezaji ni wa ligi kuu. Nashauri wamchukue Gamondi kabla hajapata timu nyingine, atleast anawajua wachezaji wa bongo.
Gamondi si type ya national team coach, so akija ni kama anajiua kiwangoTimu yetu inahitaji kocha mzawa sababu karibu 90% ya wachezaji ni wa ligi kuu. Nashauri wamchukue Gamondi kabla hajapata timu nyingine, atleast anawajua wachezaji wa bongo.
Kwahiyo akija Klop tutachukua kombe?Najua Watanzania ni watu wa matukio Hapa tumefuzu Kwa mbinde na coach Morocco anaonekana shujaa, ila ana mbinu duni akikutana na timu ngumu atapigwa kama ngoma Tumefuzu lakini Kwa kubahatisha tu Huko AFCON tunaenda kutia aibu Tutafungwa magoli si chini ya 5 kila mechi Timu yetu inacheza kama haina coach Timu inacheza Kwa hamasa tu Timu haina muunganiko Coach Morocco hawezi ku manage wachezaji, ashawahi kugombana na wachezaji wengi akiwemo Dickson Job, Msuva, Samata, Haji Mnoga, Mmobwa n k TTF tafuta coach mwingine Muda upo wa kutosha Msiwe na mihemko wa ushindi wa kufuzu Kwa mbinde Wasaalam
Wewe unajielewa mweli?Timu yetu inahitaji kocha mzawa......Nashauri wamchukue Gamondi kabla hajapata timu nyingine
Huyu jamaa mweupe kichwaniBaada ya hoja yako kuwa Stars haitofuzu kufeli umekuja na utumbo mwingine
Hebu jaribu kuficha uozo ndani ya boga lililo juu ya shingo yako basi