Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Kichwa cha habari kinajieleza, team ni ball papwatu papara papatu. Mbele haichezi katikati hainyumbuliki nyuma inqyumba na pembeni haijai.
Yaani bora liende na kubaki kubahatisha tu magori na mashambulizi ya alhamudulilahi,
Wachezaji wanaitwa kwa kuona leo kafanya nini ila hakuna consistence ya kujenga kikosi. Full kubwabwaja.
Mwenye profile ya kocha atupatie hapa na mafanikio yake.
Soma Pia: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024
Yaani bora liende na kubaki kubahatisha tu magori na mashambulizi ya alhamudulilahi,
Wachezaji wanaitwa kwa kuona leo kafanya nini ila hakuna consistence ya kujenga kikosi. Full kubwabwaja.
Mwenye profile ya kocha atupatie hapa na mafanikio yake.
Soma Pia: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024