Hemed Moroco sijui nini Taifa stars kocha ang'olewe ama atatufikisha AFCON ijayo?

Hemed Moroco sijui nini Taifa stars kocha ang'olewe ama atatufikisha AFCON ijayo?

Taifa starz inauliwa na watanzania,Idadi ya wageni wanaocheza ligi ya nyumbani na kuanza kwenye vikosi vyao ni kubwa sana,Kuna game niliona wazawa Yanga ni Dickson Job na Baka tuu the rest 9 ni wageni.

Bora tungekua na wachezaji nchi za kigeni kwenyw nchi zinazojielewa tungesema bora ila wachezaji wetu wanacheza ligi za kipuuzi huko nje.

Lini Taifa litapata wachezaji wanaojielewa wenye mechi fitness.

Leo wachezaji waliocheza vizuri ni Fei toto,Mzize,Baka na Himid mao,wengine takataka tuu.

Kocha nae kibabage anacheza mbavu kweli ?
Huu ni upumbavu!
Katika timu 16 wachezaji wageni ni wangapi?
Hawa wachezaji wenyeji unaowapambania kwa nini hawaoneshi uwezo kwenye hizi timu za kawaida?
 
Kichwa cha habari kinajieleza, team ni ball papwatu papara papatu. Mbele haichezi katikati hainyumbuliki nyuma inqyumba na pembeni haijai.

Yaani bora liende na kubaki kubahatisha tu magori na mashambulizi ya alhamudulilahi,

Wachezaji wanaitwa kwa kuona leo kafanya nini ila hakuna consistence ya kujenga kikosi. Full kubwabwaja.

Mwenye profile ya kocha atupatie hapa na mafanikio yake.

Soma Pia: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024
Sina hakika sana km uwezo uwezo wa Moroco unaendana na MALENGO na MATARAJIO ya Taifa
 
Kichwa cha habari kinajieleza, team ni ball papwatu papara papatu. Mbele haichezi katikati hainyumbuliki nyuma inqyumba na pembeni haijai.

Yaani bora liende na kubaki kubahatisha tu magori na mashambulizi ya alhamudulilahi,

Wachezaji wanaitwa kwa kuona leo kafanya nini ila hakuna consistence ya kujenga kikosi. Full kubwabwaja.

Mwenye profile ya kocha atupatie hapa na mafanikio yake.

Soma Pia: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024
Tafuteni kocha achaneni na huyu tapeli.
 
Kiukweli TFF kama Taifa stars itashindwa kwenda morocco tutawashika matamvua yenu huwezi kumpa timu Hemedi Moroko halafu utegemee aipeleke Afcon , hata ubingwa wa ligi kuu ya Tanzania hajawahi kuubeba.
 
Wapumbavu watupu, tena kama shida ni mzawa basi angepewa Julio.

Yanga tulikuwa na mwenyekiti Dr Mshindo Msola ambaye ni kocha lakini tukamleta kocha bora Nabi.

Hawa Tff wanachojali ni matumbo yao hawapo tayari kumlipa mshahara mkubwa kocha wa viwango, ikumbukwe Maximo alikuwa analipwa na Rais Kikwete.

Anachojali Karia yeye anasubili tu fungu lake la rushwa kila mwaka dola 50,000 kutoka kwa Motsepe hicho ndicho kinachomuweka TFF na ukitaka kugombea utaambiwa upate endorsement za wajumbe ambao wako chini yake wanakula wote.
bora hata meci mexime ambae amewahi kucheza timunya taifa na kuwa kepteni,wakati wa marcio maximo,au hata bakati shimye
 
Hemed Morocco pale amewekwa na yule mshikaji wake mzanzibar ambaye ni mkurugenzi wa ufundi pale tff
 


Hamna kocha humo
 
Taifa starz inauliwa na watanzania,Idadi ya wageni wanaocheza ligi ya nyumbani na kuanza kwenye vikosi vyao ni kubwa sana,Kuna game niliona wazawa Yanga ni Dickson Job na Baka tuu the rest 9 ni wageni.

Bora tungekua na wachezaji nchi za kigeni kwenyw nchi zinazojielewa tungesema bora ila wachezaji wetu wanacheza ligi za kipuuzi huko nje.

Lini Taifa litapata wachezaji wanaojielewa wenye mechi fitness.

Leo wachezaji waliocheza vizuri ni Fei toto,Mzize,Baka na Himid mao,wengine takataka tuu.

Kocha nae kibabage anacheza mbavu kweli ?
Huna hoja
 
Kichwa cha habari kinajieleza, team ni ball papwatu papara papatu. Mbele haichezi katikati hainyumbuliki nyuma inqyumba na pembeni haijai.

Yaani bora liende na kubaki kubahatisha tu magori na mashambulizi ya alhamudulilahi,

Wachezaji wanaitwa kwa kuona leo kafanya nini ila hakuna consistence ya kujenga kikosi. Full kubwabwaja.

Mwenye profile ya kocha atupatie hapa na mafanikio yake.

Soma Pia: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024
Umeniwahi mkuu,,ila hata mimi nilikuwa nawaza hili

Imekuwaje hemed Morocco akawa kocha stars?
Kwa kipi kwa mfano?
 
Mechi za kufuzu ni 6 tu.
Nyumbani mechi 3, Ugenini mechi 3.

Mechi nyepesi kuliko zote, kimtazamo wa haraka ilikuwa hii ya nyumbani dhidi ya Ethiopia...

Sasa Tunaenda ugenini Guinea tukiwa frustrated kwasababu ya Ujuha wa kocha wetu.

Mimi siamini kama kocha Hemed Moroko alikuwa na dhamira ya dhati ya kupata alama 3 nyumbani....

Uzembe wa kipuuzi wa mtu mmoja unaligharimu Taifa..

Tulicheza friendly mechi na Bulgaria, Mongolia na Indonesia hivi karibuni,

Hizo zilikuwa mechi sahihi kwa kocha kufanya majaribio hayo aliyoyafanya kwa Ethiopia ya kutumia mabeki 6!
Ukiwa nyumbani kwenu na ukihitaji kushinda.
 
Kichwa cha habari kinajieleza, team ni ball papwatu papara papatu. Mbele haichezi katikati hainyumbuliki nyuma inqyumba na pembeni haijai.

Yaani bora liende na kubaki kubahatisha tu magori na mashambulizi ya alhamudulilahi,

Wachezaji wanaitwa kwa kuona leo kafanya nini ila hakuna consistence ya kujenga kikosi. Full kubwabwaja.

Mwenye profile ya kocha atupatie hapa na mafanikio yake.

Soma Pia: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium | 04-09-2024
Huyu kocha kwa CV yake ilivyo, kuwa kocha wa timu ya taifa ni aibu na dhihaka kwa wapenda football!
Kocha kafundisha Namungo hata top 10 ya ligi haikufika, na iliyoponea kushuka daraja, hata kuongea kwenyewe kwenye media hayui! Mnatutesa sana wapenda mpira yan!
 
Huyu kocha kwa CV yake ilivyo, kuwa kocha wa timu ya taifa ni aibu na dhihaka kwa wapenda football!
Kocha kafundisha Namungo hata top 10 ya ligi haikufika, na iliyoponea kushuka daraja, hata kuongea kwenyewe kwenye media hayui! Mnatutesa sana wapenda mpira yan!
naunga mkono,hajui kuongea na anababaisha tu kuongea
 
Back
Top Bottom