SoC04 HEMIPTOMIA (Nusu binadamu, Nusu dubwana)

SoC04 HEMIPTOMIA (Nusu binadamu, Nusu dubwana)

Tanzania Tuitakayo competition threads
Joined
May 26, 2019
Posts
7
Reaction score
3
Hemiptomia ni nakala ambayo ndani yake utakuta mambo ambayo mtu yeyote haswa mtaalamu au mtumishi wa serikali hawezi hawezi kuthubutu kukufahamisha. Ni mambo ambayo hayafahamiki lakini si kwa kua hayupo anayefahamu haya, lahasha! wapo wengi sana isipokuwa tu yanafanywa kuwa siri kwa manufaa yao wenyewe. Wengine wanafanya kuwa siri kwa kuhofia maisha yao wenyewe. Zingatia kuwa, nakala ya Hemiptomia siyo nadharia, ni uhalisia ambao upo isipokuwa tu watu hawayaoni, wanamacho chakavu. Kumbuka kuwa nakala hii haipo kwa ajili ya Hemiptomu ambao hawapo tayari kuamini na kufuata ukweli uliomo ndani, inahtaji utayari wa kupokea ukweli nakubadirika ila nakala hii ipo kwa ajili ya Hemiptom waliotayari kuupokea ukweli ulio dhahiri kabisa na kuchimba madini ya busara na dhahabu nyengine zilizomo. Watakao pinga ukweli huu nakala hii haitawajibika, itakuwa ni shauri yao ila tu kwa wale wanaohitaji kumulika maisha yao kwa kuwasha mshumaa kwenye bongo zao. Hemiptomia ni hali iliyo hatari sana kuliko hata madubwana (zombies) na Dracula kwani yenyewe inasababisha Hemiptoma kutafunana wenyewe kwa wenyewe nainazidi tafuna watu wengi sana hata wenyewe bilakujijua.
Hemiptomia ni hali ambayo ilifahamika muda mrefu sana hata tangu kizazi cha wasumeri kilipokuwepo katika miaka ya 6500BC. Uwepo wa Hemiptomia katika kizazi hiko unadhihirika katika kilichoitwa mungu wa kisumeri ambaye anaonekana kwenye picha yake akiwa ameshikilia msonobari, ambao maana yake bado utafahamu kwenye nakala. Lakini siyo hao tu waliofahamu ilo hata kizazi kilichofuata, Wabudha, nao wanatambua hilo tangu ya karne ya 6 na hilo linadhibitika katika kila sanamu lao ambalo lina kidoti katikati ya paji lao la uso. Maana ya kidoti hicho utaipata ndani ya nakala hii. Unakumbuka mchoro unaoitwa “ Jicho la horus” ikimaanisha maana ambayo ipo kwenye nakala hii pekee yake. Pamoja na huo ushahidi mwingine ambao upo katika kila kitabu cha dini kwa mfano katika biblia imewekwa Mwanzo 32:30-31 na Mathayo 6:22 . Yote hayoyanaelezea kittu maalumu ambacho kipo sako kwa bako na Hemiptomia na sehemu hii ya muhimu katika ubongo wa kila binadamu ambayo ni tezi za penieli. Hii sehemu ya ubongo ipo katikati ya ubongo na ipowazi kitu ambacho hufanya sehemu hii kuathirika kiurahisi na kemikali yoyote ile
Siri ya ujerumani na urusi nchini Poland; Kufikia tarehe 25/05/1939, nchi ya Poland ilivamiwa na kuchukuliwa na nchi mbili yaani Ujerumani na Urusi. Msomaji wa nakala hii anaweza kudhani kuwa ninampeleka kwenye historia ya zamani ila nataka ajue wapo hali ya sasa imeanzia. Pamoja ya nchi hizo kutawala nchi hiyo Poland, kabla yatarehe hiyo hapo juu, Wanazi kutoka nchi ya Ujerumani walilipotiwa kumimina kemikali za Fluorini katika kila chanzo cha maji nchini Poland, huku lango lao likiwa ni mada husika katika nakala hii. Hii ni baada ya wanazi kudukua nyaraka ya siri zilizoandikwa “tezi za penieli na usafishaji wake” kutoka jamii ya siri ya wajenzi huru. Kumbe hapo unaweza kuona ambavyo hata hiyo jamii za siri, wajenzi huru, walifahamu sehemu hiyo muhimu sana ya ubongo ya tezi za penieli. Hata hivyo, baadae tena iliripotiwa kuwa, wafungwa na waharifu walipewa kemikali ya Fluorini kwenye magereza yao. Hapo Marekani ikashawishika juu ya utafiti wa kemikali za Fluorini hivyo kufika mwaka wa 1945 wakati wa vita kuu ya pili ya dunia, Jenerali wa upasuaji wa jeshi la Marekani, Norman T.Kirk alidhamini tafiti juu ya kemikali za Fluorini na huku majibu yao na hitimisho zao zikiwa ni kuwa kemikali hiyo ni sumu inayojikusanya kwenye sehemu nyeti ya ubongo inayoitwa “tezi za penieli” na kuwa kemikali hiyo inafanya kupumbaza akili za watu na kuwafanya maskini wa mawazohivyo masikini wa kufikiria.

Hivyo, kuwa njia mbadala ya kutawala watu kwa urahisi. Hata hivyo, huu ukweli ulifahamika na kugundulika lakini ukabadirishwa na kufanywa kuwa siri kwasababu za kiutawala na kudanganya kuwa kemikali hizo zinaimarisha fizi za meno na kufanya meno kwa watoto yasioze na huo ni uongo wa dhahiri. Wanasayansi wa chuo kikuu cha HAVARD tayariwamedhihirisha kuwa kemikali ya Fluorini ni sumu ya tezi za penieli, ukitumia kemikali hiyohuenda kuathiri sehemu hiyo ya ubongo na kuiharibu kabisa hivyo kuwafanya watu mazoba. Hata hivyo katika mwaka wa 2019, wanasayansi hao wamezidi kueleza kuwa Fluorini imepunguza nukta za IQ mpaka kiwango cha nukta 7 kwa maana yakuwa kama motto alikuwa na IQ ya 180, ukishatumia Fluorini, inashuka mpaka 173. Pamoja na hayo, wanasayansi hao wameripoti kuwa mpaka kufikia mwaka wa 2019, kufika asilimia 99% ya vyanzo vya maji vya Marekani vimewekewa kemikali ya Fluorini(Sodium Fluoride) kitu ambacho ni hatari kwa maisha ya binadamu haswa katika kufikiria.
Siri ya Ujerumani nchini Tanzania na Afrika mashariki; Wakati Ujerumani ilionekana kutawala Tanzania na nchi nyengine za Afrika mashariki, haswa mwambao mwa maziwa makuu na bonde la ufa, iliripotiwa kumimina kiwango cha juu zaidi katika ukanda wa bonde la ufa na vvanzo vyote vya asili vya maji, malengo yao yakiwa ni yale yale ya huko nchini Poland ya kuwafanya watu mazoba na waathirika wa Hemiptomia. Kemikali hiyo iliwafanya watanzania na waafrika mazoba kiasi cha kuwa hawakuweza hata kutambua maana ya Almasi na hiyo haikuwa kazi ngumu wa wajerumani baada ya kuduka nakala ile kutoka kwa jamii ya wajenzi huru. Mpaka sasaTanzania na nchi zingine za Afrika mashariki kwa mfano Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Eretria na Djibouti, nchi zote hizo ni wahanga wa kemikali hizo na mpaka sasa hata wakipima maji yote Tanzania nan chi hizo tajwa hapo juu kuna kiwango kikubwa sana chakemikali za Fluorini.
Tanzania na Muziki wa dunia; Kabla ya mwaka1955 mziki wa hapa duniani ulikuwa ukipigwa kwa mzunguko(frequency) 432Hz, ambayo ndiyo ilikuwa salama kwa mwili wa binadamu kwa sababu kiwango hicho kiliendana na mzunguko(frequency) wa dunia yenyewe na hii hupunguza nakurekebisha mapigo ya moyo na kuyaweka sawasawa. Lakini kufikia mwaka 1834 mizunguko ilibadirishwa na kuwekwa kwenye 440Hz ambayo ni hatari sana kwa maisha ya msomaji.
Kwa kupendekeza, Msomaji anapaswa kuepuka kila kitu chenye kemikali ya Fluorini kwa mfano dawa za miswaki za “whitedent”, maji yote ya kunywa na maji yote afrika mashiriki na serikalikupitia mkemia mkuu, wadhibiti kemikali hiyo na kuizuia kabisa hapa nchini kwani ina madhara makubwa sana, wajaribu kutafuta mbadala wa kemikali hiyo. Pia serikali ibadirishe Frequency ya muziki ya 440Hz nakuipeleka sehemu salama kabisa kwa mfano 432Hz kwani mpaka sasa sauti zimeathiri watu wa Tanzania, takribani asilimia 99% ya watanzania wana shinikizo la damu la kupanda na maradhi mengine sababu ikiwa ni sauti zisizo salama.
Kwa kuhitimisha, Hemiptomia maana yake ni nusu mtu, nusu dubwana. Chanzo chake kikiwa ni kemikali ya Fluorini, muziki wa frequency ya 440hz na sauti za mashine, magari na pikipiki (ambazo hazina frequencymaalumu). Na hatari yake ni waathirika wanatafunana wenyewe kwa wenyewe bila wao wenyewe kujijua.
 
Upvote 2
Duuuh! Subiri wanakuja kukuambia ni nadharia tu za njama.

Maana nina swali kiasi, inakuwaje katika jamii moja inayokunywa maji kutoka chanzo kimoja, inayosikiliza miziki ileile na imejaa bodaboda na mashine ya kusaga inayounguruma. Unakuta wapo majiniazi na mazoba humohumo? Imekuwejekuweje?
Kwa kuhitimisha,Hemiptomia maana yake ni nusu mtu, nusu dubwana.Chanzo chake kikiwa ni kemikali ya Fluorini, muziki wa frequency ya 440hz na sauti za mashine,magari na pikipiki (ambazo hazina frequencymaalumu). Na hatari yake ni waathirika wanatafunana wenyewe kwa wenyewe bila wao wenyewe kujijua.
 
Ndiyo kiongozi,kama ambavyo nakala inafahamisha ni kuwa wajerumani walimimina kemikali hizo kwenye bonde la ufa la afrika mashariki.Bonde la ufa kupita tanzania haimanishi imepita tanzania nzima,hapana! kuna mikoa limepita na mikoa mengine halijapita mfano wa mkoa ambao bonde hilo linapita ni kigoma na kagera lakini naweza kukupa kazi ya kutafiti mikoa mingine ambayo bonde la ufa limepita.Asante sana
 
Back
Top Bottom