Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaMaisha safari
Una knowledge yeyote ya football mkuu?Msimu huu Simba itapitia magumu zaidi ya ulio isha unless itokee wachezaji wapya wa click mapema
Tunashukuru kwa fununuBeki kisiki wa Simba SC na DRC, Henock Inonga Baka ameondoka rasmi Simba SC. Taarifa rasmi itafuata muda mfupi
Why mkuu mbna kaeleza vyemaUna knowledge yeyote ya football mkuu?
Uto Pro MaxuTopolo maximum
Wewe kama sio Mangungu basi ni shabiki maandazi. Yaani unayakwepa matatizo ya msingi ya simba na unamtwisha lawama mchezaji bora wa timu.Bora inonga aondoke kabisa hao ndio walio uza Simba sc kwa yanga..mechi ya kwanza kala mzigo acheza chini ya kiwango,mara ya pili dk ya 7 kasingizia ameumia akatoka
Ameuzwa wanadanganya kaachwakauzwa far rabat
Kama hilo nalo lina hitaji kusomea basi endelea na ubishiUna knowledge yeyote ya football mkuu?