Henock Inonga Baka ameondoka Simba SC

Henock Inonga Baka ameondoka Simba SC

Hichilema

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
1,608
Reaction score
1,687
Beki kisiki wa Simba SC na DRC, Henock Inonga Baka ameondoka rasmi Simba SC. Taarifa rasmi itafuata muda mfupi.

1719262572544.png
 
Bora inonga aondoke kabisa hao ndio walio uza Simba sc kwa yanga..mechi ya kwanza kala mzigo acheza chini ya kiwango,mara ya pili dk ya 7 kasingizia ameumia akatoka
Wewe kama sio Mangungu basi ni shabiki maandazi. Yaani unayakwepa matatizo ya msingi ya simba na unamtwisha lawama mchezaji bora wa timu.
Kumpata beki kama Inonga sio kazi rahisi na wasipoangalia msimu ujao hata top four itakuwa ndoto.
 
Back
Top Bottom