Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Na hatutawaokoa tena kama tulivyofanya mwaka 86Makolo mwakani wanacheza playoff
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hatutawaokoa tena kama tulivyofanya mwaka 86Makolo mwakani wanacheza playoff
Kwa mimi naona wanafanya sawa. Wacha wajenge timu nyingine. Ni kweli itawachukua muda kukaa sawa ila.ni vyema waanze upya. Kujisahihisha na kuanza upya kwenye maisha sio kitu kibaya.Msimu huu Simba itapitia magumu zaidi ya ulio isha unless itokee wachezaji wapya wa click mapema
Mmeanza kupiga ramli sasaMsimu huu Simba itapitia magumu zaidi ya ulio isha unless itokee wachezaji wapya wa click mapema
Msimu huu Simba itapitia magumu zaidi ya ulio isha unless itokee wachezaji wapya wa click mapema
Aende salama akachomeshe na huko arabuniBeki kisiki wa Simba SC na DRC, Henock Inonga Baka ameondoka rasmi Simba SC. Taarifa rasmi itafuata muda mfupi.
Kujenga upya timu inatokea kwa timu zote duniani.Msimu huu Simba itapitia magumu zaidi ya ulio isha unless itokee wachezaji wapya wa click mapema
Unataka maneno ya kukufurahisha?Mmeanza kupiga ramli sasa
Ni kweli we Mtoto wa Shule kujenga timu ni jambo jema japo kuna mawili yanaweza tokea, mkajipata kwa mida mfupi au ikawachukua muda kujipata. Refer to Man United, Chelsea na zamalekiKujenga upya timu inatokea kwa timu zote duniani.
Ongezea na Barcelona FC, lakini yote hiyo haiondoi ukweli kwamba Kuna muda unafika timu LAZIMA iundwe upya.Ni kweli we Mtoto wa Shule kujenga timu ni jambo jema japo kuna mawili yanaweza tokea, mkajipata kwa mida mfupi au ikawachukua muda kujipata. Refer to Man United, Chelsea na zamaleki
Uko vizuriKwa mimi naona wanafanya sawa. Wacha wajenge timu nyingine. Ni kweli itawachukua muda kukaa sawa ila.ni vyema waanze upya. Kujisahihisha na kuanza upya kwenye maisha sio kitu kibaya.