Mimi nilianza kumsikia hata Vidudu sijaanza...mwaka 1980/81 Kun Dume la Ng'ombe lilizaliwa Baba akamuitq Henry Kissinger! Jina lilikuwa maarufu sana ! Unfortunately Dume hakuishi sana ! Ila mama yake Aliishi miaka karibu 13 hadi nikiwa form tu ...na alizoeleka Kwa jina la Mama Kissinger,hata akiwa mbali unamuita tu mama Kissinger njoo ,anakuja! Ilikuwa unataka kumkamia masiwa unamuita anakaja Kwa adabu Kabisa ! RIP Kissinger's!Kweli kuna watu wanaishi humu duniani,niliwahi kumsikia huyu mwamba nikiwa mtoto sana hata primary sijamaliza,sasa nimeezeeka na yeye kumbe alikuwa bado yuko hai...
Lazima umchukie maana hechiaivii inayokusumbua aliibuni yeye!Allah amuweke panapostaili.
Baba wa GMOna Biometric weapons hatimaye karamba mchanga.
Waafrika fahamuni kuwa Kissinger kupitia mbinu zake ametusababishia mabalaa mengi Afrika
Nimeona watu wasiojitambua humu wanamtetea kana kwamba ndiye muumba waoNa yeye analipwa aliofanyia watu
Analipwa wapi na mtu kashagonga miaka yake mia kapumzika?Na yeye analipwa aliofanyia watu