Here is the amount of money DIAMOND charges per One Show Outside Tanzania

Here is the amount of money DIAMOND charges per One Show Outside Tanzania

Diamond hajafika huko wakuu,,,,!!!!!
Show za nje wampe hela zote hizo na nyimbo zake za aina moja kila cku?????
 
Wow kumbe yuko juu...haya ndio maisha ya usaniii amejipanga. Vizuri...maana na nje anaenda na anaenda tena karibuni nchi tofauti...

Hongera zake kwa kujitahidi na kujipaisha kimuziki.
 
Diamond anafanya show za nje kwa milion 6 za ki tz kabsaaa..ushahidi upo...rejea makubaliano na yule promota mnaijeria kwenye ile show ujeruman iliyoleta balaa...alilipwa tatu zikabak 3...na ndizo zilileta balaa...sa cjui mmeshasahau?

Labda hakuandika yoteee hata ndani ya nchi halipwi hizo...ukifikiria bei ya ticket ya ndege na malazi kweli mil 6 hadi ulaya???????????????
 
Impressive...!!!
Huyu Kijana anajitambua vyema.
 
Mwenyekiti Mtendaji wa Britts Events, Awin Williams Akpomiemie Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni hiyo, Awin Williams Akpomiemie ameeleza kwa kina katika maelezo ambayo Bongo5 tumeyatafsiri kwa Kiswahili hapo chini. Watu wangu awali ya yote, ningependa kuelezea moyo wangu kwa kuuambia umma na mashabiki wa Diamond Platnumz, kwamba sisi kutoka uongozi wa Britts Events tunaomba radhi kwa kile kilichotokea usiku uliopita, wakati wa show ya Diamond Platnumz. Haikuwa imepangwa show ichelewe kuanza au kwa msanii kutotumbuiza. Hapa ntawaeleza ukweli wote wa kile kilichotokea katika tamasha hilo kwakuwa ninyi nyote mnataka kuujua ukweli. Mradi wa Diamond ulikuwa wa gharama kubwa sana kwakuwa uongozi Britts Events ulitaka kila kitu kiwe professional. Kama kampuni tuliamua kutafuta wawekezaji watakaowekeza kwenye mradi huu hivyo tuliwafuata wawekezaji watatu lakini mmoja wao hakuwekeza sana kwani alidai hatokuwa nchini. Wawekezaji wawili ni watu wanaofahamika sana jijini Stuttgart, mmoja anafanya kazi na jeshi la Marekani na mwingine anamiliki kampuni ya usafirishaji mjini Stuttgart. Hawa ndio wawekezaji wakubwa tuliowapata. Tuliwapa mikataba wasaini lakini yule mwenye kampuni ya usafirishaji alikataa kusaini mkataba wa mradi huo kwakuwa alitaka kuwa na mkataba wake binafsi na yule jamaa wa Marekani. Kisha nilimwambia Mr.USA kuwa hiyo haikuwa hatua sahihi lakini Mr.USA alisema ‘Britts msiwe na shaka, kila kitu kitakuwa poa. Watu wangu, mradi ulianza na kisha wale wawekezaji wawili wakagundua kuwa Diamond ni msanii mkubwa na angevuta umati mkubwa wa watu na watu wanampenda. Kisha walijiunga pamoja dhidi ya Britts waliowaalika kama wawekezaji kwenye mradi huo na walitaka kuuchukua kutoka kwa Britts sababu ni wao ndio walioleta sehemu ya fedha kwaajili ya mradi huu wakati Britts ndio wanaommiliki msanii na mradi wenyewe. Ila tu kwakuwa Britts ni kampuni mpya mjini Stuttgart, Mr. Shipping Guy aliamua kuungana na yule jamaa wa Marekani na DJ Wanted, kuuchukua mradi. Pindi Britts ilipokaa chini na kufanya mkutano nao, walikuwa wakifanya mkutano wao wenyewe na kubadilisha mipango yote hivyo walikuwa wanahujumu na kuendelea na mradi nyuma ya Britts. Britts ina makubaliano nao kuwa pindi msanii atakapowasili Ujerumani, watampa balance ya 3.250 euros, na walikubaliana na kigezo hicho kwasababu Diamond aliweka wazi kuwa bila fedha asingepanda ndege. Waliniomba mimi niongee na Diamond kuwa watampa fedha kwenye uwanja wa ndege, lakini unajua nini? Kabla Diamond hajawasili Mr. USA na Mr. Shipping
 
Hivi euro 3250 na sh ngap vle kw ela za madafu?tuache masifa ya kujinga...na hapo ni mwaka jana mwishoni...km ni balance bac haizid 14million aliyolipwa
 
Hivi euro 3250 na sh ngap vle kw ela za madafu?tuache masifa ya kujinga...na hapo ni mwaka jana mwishoni...km ni balance bac haizid 14million aliyolipwa

Kwahio ndio million 6 hio? Balance ina maana kuna hela ilitangulia. Halafu usifananishe show anayopiga sehemu yenye watanzania 2000 na show ya Kenya au Rwanda! Ni vitu viwili tofauti na hio management yake wanajua hivyo.
 
Dash huyu jamaa ni tajiri sana nimeskia ana investment nyingi
Diemond motaz
Diemond B@no
Diemond futbol club
Diemond sound band
Diemond plaza..
He's serious when it comes making mane.

Diomond tv station is on the way
 
Hivi euro 3250 na sh ngap vle kw ela za madafu?tuache masifa ya kujinga...na hapo ni mwaka jana mwishoni...km ni balance bac haizid 14million aliyolipwa

hiyo balance hiyo??? BALANCE!!! ndio iliyoleta vurugu, lakini malipo ya awali yalishafanyika kabla hajapanda ndege. sijaona popote basic payment ikiitwa balance.
 
Hivi euro 3250 na sh ngap vle kw ela za madafu?tuache masifa ya kujinga...na hapo ni mwaka jana mwishoni...km ni balance bac haizid 14million aliyolipwa
Hivi unaweza kunieleza umetumia formula or logic ipi ku-conclude ikiwa balance ilikuwa Euro 3250 basi total pay haikuzidi 14 million? By the way, nini kimekufanya uiamini habari ya kulipwa balance ya Euro 3250 na usiiamini habari ya kwamba pay yake ni $40K? Is any of those news authenticated?
 
Back
Top Bottom