xav bero
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 5,134
- 7,338
Hapana narudia tu nilichokumbukaAcha uchokozi! Kwani kumisi koni ni kosa?
Kuanzia sasa hivi na[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana narudia tu nilichokumbukaAcha uchokozi! Kwani kumisi koni ni kosa?
Kuna kamovie kanaitwa girlhood.Unaangalia nini shemeji?
Mi mbona uwa uniiti hivyo?Mpenzi Put full image iliotapakaa iwe rahisi kusomeka
Jamani jitahidi uelewe mbona unaeleweka tuOmba na kufunga kabisa ila ata ujumbe wenyewe haueleweki
Ngoja niutazame vizuri tena na tenaJamani jitahidi uelewe mbona unaeleweka tu
Amekudhalilisha sana mremboNitake radhi tafadhari
ngoja ki"copy nikamuulize miss chagga je ni kweli..!!!MWANAUME ANAHITAJI:
1. Kupikiwa
2. Unyumba
3. Kupumzika
MWANAMKE ANAHITAJI MWANAUME WAKE UWE:-
1. Mpenzi
2. Rafiki
3. Mshikaji
4. Kaka
5. Baba
6. Mwalimu
7. Bosi
8. Mpiganaji
9. Askari
10. Mlinzi
11. Mpishi
12. Fundi umeme
13. Fundi bomba
14. Mchungaji
15. Mzee wa kanisa
16. Shehe
17. Daktari
18. Mpambaji
19. Mwana mitindo
20. Modo
21. Mnyanyua vyuma
22. Fundi magari
23. Mwanasheria
24. Mhasibu
25. Fundi seremala
26. Mcheshi
27. Mwanamuziki
28. Muigizaji
29. Shamba boi
30. Fundi ujenzi
31. Msafi
32. Unajali
33. Mzazi
34. Mlezi
35. Mvumilivu
36. Mjanja
37. Mpole
38. Mkarimu
39. Msikivu
40. Mtunza siri
41. Mkweli
42. Kiongozi
43. Tajiri
44. Mpangaji
45. Mwana Michezo
46. Mtundu
47. Tegemeo
48. Jasiri
49. Mthubutu
50. Shupavu
51. Mwerevu
52. Muungwana
HAPO HAPO UNATAKIWA:- 53. Uwe Fundi kitandani.
54. Uwe unamtoa outing.
55. Uwe unampa pesa za kutosha.
56. Usimsumbue sumbue.
57. Usiangalie wanawake wengine.
HALAFU KUNA:- 58. Kumnunulia vizawadi zawadi hapa na pale.
59. Kumsifia alivyoumbika.
60. Kumsifia alivyopendeza.
61. Kumfungulia mlango, kumshikia pochi.
PIA USISAHAU:- 62. Siku yake ya kuzaliwa.
63. Kumbukumbu ya ndoa.
64. Siku ya valentine.
MUHIMU SANA, KUWA MAKINI:- 65. Jifunze kutoulizia chenji ukimpa pesa ya shopping.
66. Usipende kubishana katika kila kitu
Duh shikamoo wanawake ee
[HASHTAG]#hapa[/HASHTAG] kazi tu#
Hahaaahahaa..!!MWANAUME ANAHITAJI:
1. Kupikiwa
2. Unyumba
3. Kupumzika
MWANAMKE ANAHITAJI MWANAUME WAKE UWE:-
1. Mpenzi
2. Rafiki
3. Mshikaji
4. Kaka
5. Baba
6. Mwalimu
7. Bosi
8. Mpiganaji
9. Askari
10. Mlinzi
11. Mpishi
12. Fundi umeme
13. Fundi bomba
14. Mchungaji
15. Mzee wa kanisa
16. Shehe
17. Daktari
18. Mpambaji
19. Mwana mitindo
20. Modo
21. Mnyanyua vyuma
22. Fundi magari
23. Mwanasheria
24. Mhasibu
25. Fundi seremala
26. Mcheshi
27. Mwanamuziki
28. Muigizaji
29. Shamba boi
30. Fundi ujenzi
31. Msafi
32. Unajali
33. Mzazi
34. Mlezi
35. Mvumilivu
36. Mjanja
37. Mpole
38. Mkarimu
39. Msikivu
40. Mtunza siri
41. Mkweli
42. Kiongozi
43. Tajiri
44. Mpangaji
45. Mwana Michezo
46. Mtundu
47. Tegemeo
48. Jasiri
49. Mthubutu
50. Shupavu
51. Mwerevu
52. Muungwana
HAPO HAPO UNATAKIWA:- 53. Uwe Fundi kitandani.
54. Uwe unamtoa outing.
55. Uwe unampa pesa za kutosha.
56. Usimsumbue sumbue.
57. Usiangalie wanawake wengine.
HALAFU KUNA:- 58. Kumnunulia vizawadi zawadi hapa na pale.
59. Kumsifia alivyoumbika.
60. Kumsifia alivyopendeza.
61. Kumfungulia mlango, kumshikia pochi.
PIA USISAHAU:- 62. Siku yake ya kuzaliwa.
63. Kumbukumbu ya ndoa.
64. Siku ya valentine.
MUHIMU SANA, KUWA MAKINI:- 65. Jifunze kutoulizia chenji ukimpa pesa ya shopping.
66. Usipende kubishana katika kila kitu
Duh shikamoo wanawake ee
[HASHTAG]#hapa[/HASHTAG] kazi tu#
Nope! we undergo menstrual cycle kama mimba haijaingia pale yai linapoharibika baada ya kutorutubishwa!Huyo Wiliiam Golding hajawahi kudumu na mwanamke hata mara moja...
Maisha yake yote alikuwa mpweke tu na kudanda hapa na pale...
No one can understand a woman and be good to her all times...women undergo mensuration cycle every months its their nature to be act they way they do...
Naogopa makofi.. Mi sina nguvu za kupiganaMi mbona uwa uniiti hivyo?