Hereni!

Sijui, nadhani ni ngumu kupata jibu muafaka. Jaribu kufikiria kuhusu waMasaai, waMang'ati n.k. makabila ambapo kuvaa hereni ni sehemu ya urembo kwa jinsi zote!

Ila kusuka...mh!

Mkuu kama unaweza kuona wamasai wamevaa hereni inakuwaje unashindwa kuwaona wakiwa wamesuka.
 
<br />
<br />


hapo kwenye lipgloss na wanja mie ndo wananishangazaaaa, halafu bado ninabakia na mshangao hadi sasa!!!!
Sasa tudubirie wapake rangi za kuvha na kuvaa magauni, kwa kwrli kaka zetu wanapoelekea sipo kabisaaaaaaaaa
 
Kama ingelikuwa ni kutoa maksi, basi mwanaume akivaa hereni au kasuka nywele, mimi nampa sifuri!

Mhhhh! Madame KH! kwako ni MARUKUFU kuvaa hereni na kusuka nywele!....Yaani huangalii chochote kingine! ali mradi ana nywele za kusuka na hereni basi anapewa mzinga! na yule mwenye mkufu wa gold lakini hajasuka wala kuvaa hereni je atapewa hata pass marks za kumvusha tu? Mzima KH? mbona umepotea hivyo!? Vibaya hivyo! haya uwe na weekend njema na pia ubarikiwe kwa sana tu.
 
BAK, yaani kabisa..anapata sifuri. Inabidi iwepo tofauti kati yangu na yeye...sio kila asbuh tunakuwa busy wote kujiremba..hahaha!
Kwa mkufu, mhh may be anaweza kupata some maks, ila sijui hata zitafika pass mark....🙂
Mi mzima kabisa BAK, mzima wewe? Nitajitahid kutopotea sana...
 
Reactions: BAK

Mhhhh! haya nimekuelewa...mimi poa kabisa namshukuru sana Muumba wetu....furahia mwisho wa wiki.
 
Mbona wanawake na nyie mnavaa suruali wakati ni za wanaume?
 
Ukiona mwanaume ana tabia kama za kike (kusuka,kuvaa hereni,kuvaa cheni either shingoni or kiunoni) NI ZUZU na anaweza kuwa na sifa za kuwa mwanamke kwa asilimia 80. KWAKWELI HUWA SIPENDI KUMWONA MWANAUME ANAKUWA NA UJINGA WA NAMNA HII.
 
Ukiona mwanaume ana tabia kama za kike (kusuka,kuvaa hereni,kuvaa cheni either shingoni or kiunoni) NI ZUZU na anaweza kuwa na sifa za kuwa mwanamke kwa asilimia 80. KWAKWELI HUWA SIPENDI KUMWONA MWANAUME ANAKUWA NA UJINGA WA NAMNA HII.
 
Sifagilii kabisa mwanaume kuvaa hereni na akianza kuvaa hivyo ataanza kupaka na cream mwisho wa siku tutaanza kugombania dressing table asubuhi kujipaka powder
 
Ni western life style jamani!
Acha wafanye wapendavyo
Kwani au yetu au aibu yao?
 
Mmenikumbusha 'Chief of Protocol' wa Ikulu enzi za BWM, (aliwahi pia kugombea ubunge jimbo la Temeke kwa tiketi ya wanaojidai kujivua magamba) ni balozi wa nchi moja huko Asia, sijui bado anavaa hereni?
 

Sio kwenda na wakati mkuu...wamasai mbona ni mila zao kusuku na kuvaa hereni wanaume? sema tu wewe upo mbele sana kufikiria...mtu afanye anapojisikia...
 
He he he mi nadhani inategemea tamaduni na kazi ya mtu..wamasai wa kiume mbona wanasuka...ila @ least uwe na mwili wa gym na ndevu kidogo usije ukapapaswa bure

Dr bwna...mambo ya upapaswaji yanatoka wapi tena?
 

Hivi Ben K mtu wangu ni mwanume yule? mbona sio elements tu za kike anazo ila full wa kike..
 

Vipi madada wanaoweka matiti yao nje? kama hiyo avata yako?unawapenda eeeeeeeeeeeeeee
 
mi mzima,
hao wanaovaa pichu nje ndo natamanig niwanyuke viboko,nahis wanawatega wanaume wenzao maana unakuta wakipita wanaume wenzao wanakodolea macho.hii dunia imechefuka sana

Avatar yako mbona inanitia wehu mie? Na nyie jamani wanawake acheni kututega kuvaa nguo zinazobana makalio hujui tunaumia sisi?
 
Mi mwenzenu napenda mwanaume wangu akivaa cheni shingoni mara mojamoja,napenda kuichezea ikiwa hapo ILA akivaa hereni na kusuka nywele sipendi hata kuongoza naye japo kwa asili wamasai wanavaa,na kwa asili kuna makabila ni kawaida wanawake kuvaa vinguo(vingozi) vya kuacha makalio/matiti wazi.
Cha msingi ni kwamba tumeshastaarabika,tujue kujihifadhi maungo yetu(wanawake na wanaume).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…