Yaani wabongo bora akae kwenye dhiki kuu lakini awe anapumua tu 😁😁😁hampendi mchakamchaka umaskini hautowaacha kamweBora maigizo maana walau yanakupa nafasi ya kupumua kidogo kuliko kufugwa kama Nguruwe.
Kama udikteta ni mzuri hamia Rwanda na kwingineko
Huu ndio upumbavu na uwoga wa kufanya maendeleo kuogopa wachawi eti watakuroga ukijitofautishana waoBora maigizo maana walau yanakupa nafasi ya kupumua kidogo kuliko kufugwa kama Nguruwe.
Kama udikteta ni mzuri hamia Rwanda na kwingineko
Hamia kwenye udikteta sio mbali ni hapo Rwanda tuu harafu ukamkosoe Kagame achilia mbali Kumtukana.Huu ndio upumbavu na uwoga wa kufanya maendeleo kuogopa wachawi eti watakuroga ukijitofautishana wao
Unafugwa kama Nguruwe alafu wanatumia Kodi zako kukushawishi / kukulaghai eti upo huru kama Swala....Bora maigizo maana walau yanakupa nafasi ya kupumua kidogo kuliko kufugwa kama Nguruwe.
Kama udikteta ni mzuri hamia Rwanda na kwingineko
Wanaotaka hayo wawahi Rwanda,Niger,Burkinafaso watapumua tuu na kufugwa kama NguruweYaani wabongo bora akae kwenye dhiki kuu lakini awe anapumua tu 😁😁😁hampendi mchakamchaka umaskini hautowaacha kamwe
Partial democracy hufungwi maana Haina amei za kindezi ndezi kama kwenye authoritarian.Unafugwa kama Nguruwe alafu wanatumia Kodi zako kukushawishi / kukulaghai eti upo huru kama Swala....
Maigizo ni hivyo vyama vya kwenye Briefcase na sio CHADEMAMaigizo Yes ?!!!
Siwezi kumbuka taahira.Mtoa mada aweke ballot box tupige kuraMtanikumbuka-JPM
Hivi kipindi ambapo kuna mtu alipoteza kazi kwa kukemea Tozo Je JPM alikuwa anaongoza kutoka Kuzimu ? Je aliyeshikwa kama Gaidi baadae eti akasamehewa na aliyemshika..; Je aliyewaambia Waandishi atawaparura kama wakimsema ndivyo sivyo ? Na Yule aliojikuta anapigwa Jungu na kuondoka kwenye kiti vyao baada ya kusema mtizamo wake kwamba huenda tukauzwa ?; Na wale waliojikuta wanakwenda Malawi mpaka Cuba au wale walijikuta kazi zao / uwaziri unayeyuka na kupata kazi kwenye meza ya Ikulu ? (At what Cost).....Partial democracy hufunhwi maana Haina amei za kindezi ndezi kama kwenye authoritarian.
Huoni Kwa Sasa unatukana Hadi Rais ,unamwaga povu ila unaachwa tuu but Kwa Mwendazake wote mliufyata yaani alibakia kuja kuwaoa tuu.
Unapumua wapiii? Mwizi tuBora maigizo maana walau yanakupa nafasi ya kupumua kidogo kuliko kufugwa kama Nguruwe.
Kama udikteta ni mzuri hamia Rwanda na kwingineko
Hiyo ndio partial democracy kwamba unaongea ila usivuke mpaka.Kule kwingine huruhusiwi hata kuongelea issue ya serikali.Hivi kipindi ambapo kuna mtu alipoteza kazi kwa kukemea Tozo Je JPM alikuwa anaongoza kutoka Kuzimu ? Je aliyeshikwa kama Gaidi baadae eti akasamehewa na aliyemshika..; Je aliyewaambia Waandishi atawaparura kama wakimsema ndivyo sivyo ? Na Yule aliojikuta anapigwa Jungu na kuondoka kwenye kiti vyao baada ya kusema mtizamo wake kwamba huenda tukauzwa ?; Na wale waliojikuta wanakwenda Malawi mpaka Cuba au wale walijikuta kazi zao / uwaziri unayeyuka na kupata kazi kwenye meza ya Ikulu ? (At what Cost).....
JPM alipiga pini vyombo vya habari visiseme mambo (propaganda zikawa nyingi) Hii ni mbaya sana ; sasa hivi ni yaleyale vyombo vya habari vimekuwa propaganda machines na sio vyanzo vya habari (huenda wanafanya hivyo sio kwa kutishiwa..., (Lakini one has to wonder ni kiasi gani cha Kodi zetu zinatumika kuwafanya hao wawe bendera fuata upepo)
Huo huo wizi ndio safi maana inakupa chance ya kusogeo kuliko kuishi kama jela wakati uko mtaani ,ikiwa hivyo si Bora ufe tuu yaani uwe unafungwa na kuamuliwa utu wako?Unapumua wapiii? Mwizi tu
Umejuaje? 🤣🤣🤣🤣Unapumua wapiii? Mwizi tu
Unajua maana ya Heri Kuliko ?Hiyo ndio partial democracy kwamba unaongea ila usivuke mpaka.Kule kwingine huruhusiwi hata kuongelea issue ya serikali.
Redio zote za Umma na private ilikuwa ni kusifia na kuabudi,vijiweni watu wana hofu ,Ukiwa na pesa ni shida.Upumbavu kama huo wewe ndio unataka? Utakuwa ni mtu uliyezoea kufugwa.