ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Nyavu ya inch 3 au 5 ukiinunua mpya ni kama million 1 hivi ambayo maliasili hawatakusumbua, chombo ni ngalawa ambayo ni kama laki 2. Ukimpata baharia mzuri akasimamia na wavuvi wake 10 kazi ikafanyika una asilimia 25 ya mauzo. Mfano imepatikana 100000 basi yako ni 25000 ➕ samaki wa mboga na ikitokea wamebahatika kambakochi jua kilo 1 ni 85000.
Sasa ukijichanganya sijui bodaboda wanazingua kazi yenyewe kwa siku wanakuletea 6000 kwa utata mara boda imeharibika sijui services halafu boda umeichukua kwa zaidi ya million 3 na point.
Thread ni maalum kwa wana jamiiforums wa Mwanza, Musoma, Kagera, Kigoma, Tanga, Zanzibar, Dar, Pwani, Lindi, Mtwara na Ruvuma.
Sasa ukijichanganya sijui bodaboda wanazingua kazi yenyewe kwa siku wanakuletea 6000 kwa utata mara boda imeharibika sijui services halafu boda umeichukua kwa zaidi ya million 3 na point.
Thread ni maalum kwa wana jamiiforums wa Mwanza, Musoma, Kagera, Kigoma, Tanga, Zanzibar, Dar, Pwani, Lindi, Mtwara na Ruvuma.