ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
-
- #21
Umeongea point sana mkuu.. Tukitumia rasilimali zetu vzr maendeleo yatakuja maana wavuvi wapo na wana moyo wa kazi ila vifaa tu ndo changamotoMambo yenye tija kama haya hayapo katika mitaala yetu ya elimu, tunaishia kufundishwa kilimo cha ndizi jamaica, kilimo cha chai srilanka, kilimo cha kahawa brazili aina za kawaha sijui arabika na robusta......hatufundishwi Mambo ya msingi yanayohusiana na rasilimali za nchi yetu pamoja na uhalisia wa maisha yetu. Pamoja na nchi hii kuwa na madini mengi ya aina tofauti, wananchi wake wengi hawajui chochote kuhusiana na hayo madini.
Mkuu ndo maana nimekwambia upate muaminifu ila pia ukiamua kwenda kila siku wanapofanya mnada unaweza kucheza naoHuko nako utapeli upo.
Upo mjini huingii baharini au ziwani utajuaje mapato halisi?
Sana mkuu kwa huku nilipo Lindi Beach ni rahisi maana wanavua usiku mnada ni alfajiri so ukiamua kwenda kwenye mnada kila siku inawezekanaChangamoto ya kwanza ni huyo baharia utakayempa hiyo nyavu.
Watanzania ni watu wa ovyo mno kwenye uaminifu hasa biashara za aina hii.
Labda awe ndugu yako ukaamua tu kumsaidiaHuwa najaribu sana kutafakari lakini nashindwa kuhalalisha kwenye kichwa changu kumnunulia mtu bodaboda halafu kila siku au wiki aniletee pesa then baada ya muda iwe mali yake.
Yani sioni mantiki ya kutumia pesa yangu kwa mkupuo ili tu nije kupewa kidogo kidogo.
Noted-heri ununue kiwanja kuliko kunywa bia
-heri ukae kwako madirisha wazi kuliko kupanga
-heri uloge kuliko kwenda polisi
-heri uoe kuliko kua bachela
-heri ujenge kuliko kununua gari
-heri ujiajiri kuliko kuajiriwa
-heri ukae kijijini kuliko mjini
maficho ya bwana heri tufanye kazi kwa bidii na tutumia chansi vizuri kama wafanyavyo wanasiasa
habari za jua na mvua bora nini tuachane nazo
Rahisi tu..?? Uingie baharini ama ziwani upate samaki..???Nyavu ya inch 3 au 5 ukiinunua mpya ni kama million 1 hivi ambayo maliasili hawatakusumbua, chombo ni ngalawa ambayo ni kama laki 2. Ukimpata baharia mzuri akasimamia na wavuvi wake 10 kazi ikafanyika una asilimia 25 ya mauzo. Mfano imepatikana 100000 basi yako ni 25000 β samaki wa mboga na ikitokea wamebahatika kambakochi jua kilo 1 ni 85000.
Sasa ukijichanganya sijui bodaboda wanazingua kazi yenyewe kwa siku wanakuletea 6000 kwa utata mara boda imeharibika sijui services halafu boda umeichukua kwa zaidi ya million 3 na point.
Thread ni maalum kwa wana jamiiforums wa Mwanza, Musoma, Kagera, Kigoma, Tanga, Zanzibar, Dar, Pwani, Lindi, Mtwara na Ruvuma.
Unapata hata vidagaa unapata tuRahisi tu..?? Uingie baharini ama ziwani upate samaki..???
Una maana ya KOKOLO au NYAVU km ulivyoiita?Nyavu ya inch 3 au 5 ukiinunua mpya ni kama million 1 hivi ambayo maliasili hawatakusumbua, chombo ni ngalawa ambayo ni kama laki 2. Ukimpata baharia mzuri akasimamia na wavuvi wake 10 kazi ikafanyika una asilimia 25 ya mauzo. Mfano imepatikana 100000 basi yako ni 25000 β samaki wa mboga na ikitokea wamebahatika kambakochi jua kilo 1 ni 85000.
Sasa ukijichanganya sijui bodaboda wanazingua kazi yenyewe kwa siku wanakuletea 6000 kwa utata mara boda imeharibika sijui services halafu boda umeichukua kwa zaidi ya million 3 na point.
Thread ni maalum kwa wana jamiiforums wa Mwanza, Musoma, Kagera, Kigoma, Tanga, Zanzibar, Dar, Pwani, Lindi, Mtwara na Ruvuma.
Labda iwe ndugu kama unavyosema. Lakini utakuta vijana wanafosi uwanunulie bodaboda ya mkataba kama vile kuna faida kubwa sana mimi mnunuzi napata.Labda awe ndugu yako ukaamua tu kumsaidia
Hizi ni Biasgara za watu ambao kichwani hakuna, ni ujinga sana, ni zaidi ya ujinga, eti pikipiki ya mkataba, full ujingaHuwa najaribu sana kutafakari lakini nashindwa kuhalalisha kwenye kichwa changu kumnunulia mtu bodaboda halafu kila siku au wiki aniletee pesa then baada ya muda iwe mali yake.
Yani sioni mantiki ya kutumia pesa yangu kwa mkupuo ili tu nije kupewa kidogo kidogo.
Unapata hata vidagaa unapata tu
jamaa hapa umemaliza kabisa ππNyani wa kwenye zoo anapomshauri nyani wa Serengeti kukabiliana na chui duma na simba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu samaki huwa zinahamishiwa hata kwa wavuvi wengine majini na kuna wachuuzi wanafwata mzigo majini afu wakitoka forodhan unazan siku haikuwa nzuri kumbe washajiongeza,nilipata hii experiance ziwa rukwa upande wa chunyaMkuu ndo maana nimekwambia upate muaminifu ila pia ukiamua kwenda kila siku wanapofanya mnada unaweza kucheza nao
Asikuumuze kichwa ni motivation speakerHivi kabla hujaleta hii thread hapa vipi ulishawahi kuwekeza kwenye hii biashara au na wewe ni motivationspeaker?
Hivi unajua wizi wa nyavu ulivyoshamiri?? Kuna mtu aliniambia ziwa viktoria maeneo ya Ukerewe ukinunua nyavu ukakaa nayo wiki 2 basi mshukuru sana Mungu. Sipingani na hoja zako but angalia na negative pia za nyavu kuliko ulivyolalia negative za bodaNyavu ya inch 3 au 5 ukiinunua mpya ni kama million 1 hivi ambayo maliasili hawatakusumbua, chombo ni ngalawa ambayo ni kama laki 2. Ukimpata baharia mzuri akasimamia na wavuvi wake 10 kazi ikafanyika una asilimia 25 ya mauzo. Mfano imepatikana 100000 basi yako ni 25000 β samaki wa mboga na ikitokea wamebahatika kambakochi jua kilo 1 ni 85000.
Sasa ukijichanganya sijui bodaboda wanazingua kazi yenyewe kwa siku wanakuletea 6000 kwa utata mara boda imeharibika sijui services halafu boda umeichukua kwa zaidi ya million 3 na point.
Thread ni maalum kwa wana jamiiforums wa Mwanza, Musoma, Kagera, Kigoma, Tanga, Zanzibar, Dar, Pwani, Lindi, Mtwara na Ruvuma.
Ulisemalo ni kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu samaki huwa zinahamishiwa hata kwa wavuvi wengine majini na kuna wachuuzi wanafwata mzigo majini afu wakitoka forodhan unazan siku haikuwa nzuri kumbe washajiongeza,nilipata hii experiance ziwa rukwa upande wa chunya