Heri ya kuzaliwa kwa Kagere; Historia yake

Heri ya kuzaliwa kwa Kagere; Historia yake

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
Meddie Kagere (alizaliwa 10 Oktoba 1986) ni mchezaji wa soka wa Rwanda aliyezaliwa Uganda ambaye anacheza katika klabu ya Simba S.C. iliyopo Ligi Kuu Tanzania Bara na timu ya taifa ya Rwanda.

Safari yake katika Mpira
KF Tirana

Kagere alijiunga na klabu yake ya kwanza huko Ulaya wakati wa dirisha la uhamisho wa majira ya joto 2014, alipojiunga na Albania Superliga katika klabu ya KF Tirana baada ya mkataba wa miaka miwili kuisha alirudi katika klabu yake ya awali ya Rayon Sports FC ya kwa $ 10,000. Mnamo 1 Januari 2015, Kagere alitolewa na KF Tirana na kujiunga na Gor Mahia ya Kenya

Simba S.C
Baada ya kufanya vizuri katika mwaka 2018 SportPesa Super Cup, wakati alikuwa mchezaji wa Gor Mahia F.C, alifunga goli la kwanza dhidi ya Simba S.C., hatimaye alisajiliwa na mabingwa hao wa Ligi Kuu ya Tanzania Simba S.C. Katika msimu wa 2019/20 ni mmoja kati ya wachezaji bora.

Akiwa Simba amepata kufahamika kwa jina la utani kama MK14 Hii ikiwa na Maana ya jina lake na namba anayo vaa kwenye jezi yake yaani Meddie Kagere14(14 ni namba ya jezi anayo vaa simba).

Heri ya kuzaliwa kwa Kagere
 
Back
Top Bottom