Ethos
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 2,294
- 2,083
Wadau wa Michezo Leo Ni siku ya kuzaliwa Kwa nyota ya Tanzania, mtoto wa Mama Tanzania ambaye anakimbiza Wazungu..
Binafsi, namhusudu sana SamaGoal na Mungu azidi kumlinda na Kumuongoza uenda tukapata wakiwa Sammata kumi huko mbeleni...
Kama wadau wa Michezo wa JF naomba tumtakie birthday njema na ushauri kama unao.. Naamini atapata tu
Samatta hakikisha Leo Umeweka Muziki
Happy Birthday Popa
Binafsi, namhusudu sana SamaGoal na Mungu azidi kumlinda na Kumuongoza uenda tukapata wakiwa Sammata kumi huko mbeleni...
Kama wadau wa Michezo wa JF naomba tumtakie birthday njema na ushauri kama unao.. Naamini atapata tu
Samatta hakikisha Leo Umeweka Muziki
Happy Birthday Popa