Heri ya Mwaka Mpya 2025

Heri ya Mwaka Mpya 2025

Kwa mujibu wa kalenda yangu,mwaka mpya ulianza pale msimu wa mvua ulipoanza kwani nilipanda mimea na mwisho wa mwaka itakuwa kiangazi.Hizo kalenda za kigeni hazinihusu.
 
Wapendwa Wana Jukwaa letu pendwa, salaam.

Sisi familia ya Advocate Gwajima, tunawashukuru sana kwa ushirikiano wenu na upendo wenu kipindi chote cha mwaka 2024.

Tunawatakia Heri ya Mwaka Mpya 2025 na Baraka tele mwanzo hadi mwisho wa mwaka huu. Tunawaombea na kuwatakia Upendo, Furaha na Amani vikatawale kwenye familia zenu daima, muukatae ukatili kwa nguvu zote na akili zote na fahamu zenu zote, na Mungu wa mbinguni awe pamoja nanyi na mipango yenu yote aifanikishe, Amina✍🏻

Zaidi ya yote, nawashukuru Sana kwa Tuzo ya JF ambayo, umenipa hamasa ya kuendelea kuitumikia jamii yetu huku nikiendelea kwa bidii zote kupokea hoja zenu na maoni yenu na kufanyia kazi na kuendelea kuomba na kuheshimu ushirikiano wenu daima. Hakika, ushirikiano wa jamii ni mtaji na nguzo ya kwanza ya kufanikisha wajibu wetu.

Salaam kwa Uongozi wote wa JF na washirika wake na wafuasi wake wote. Mungu awabariki.

View attachment 3189670
Na kwako pia Daktari!
 
Wapendwa Wana Jukwaa letu pendwa, salaam.

Sisi familia ya Advocate Gwajima, tunawashukuru sana kwa ushirikiano wenu na upendo wenu kipindi chote cha mwaka 2024.

Tunawatakia Heri ya Mwaka Mpya 2025 na Baraka tele mwanzo hadi mwisho wa mwaka huu. Tunawaombea na kuwatakia Upendo, Furaha na Amani vikatawale kwenye familia zenu daima, muukatae ukatili kwa nguvu zote na akili zote na fahamu zenu zote, na Mungu wa mbinguni awe pamoja nanyi na mipango yenu yote aifanikishe, Amina✍🏻

Zaidi ya yote, nawashukuru Sana kwa Tuzo ya JF ambayo, umenipa hamasa ya kuendelea kuitumikia jamii yetu huku nikiendelea kwa bidii zote kupokea hoja zenu na maoni yenu na kufanyia kazi na kuendelea kuomba na kuheshimu ushirikiano wenu daima. Hakika, ushirikiano wa jamii ni mtaji na nguzo ya kwanza ya kufanikisha wajibu wetu.

Salaam kwa Uongozi wote wa JF na washirika wake na wafuasi wake wote. Mungu awabariki.

View attachment 3189670
Na kwako pia mheshimiwa!
 
Ndioo Mama, naona umehimiza suala la FAMILIA KWANZA.

Jinsia ni mbili tu, Me na Ke.

Vitabu vyetu mashuleni viwafundishe watoto Ukweli huo kua Familia ni Baba ,Mama na Watoto ,haiwezekan mwanamke na mwanamke wawe na watoto, au mwanaume na mwanaume wawe na watoto.

UKATILI WA KIJINSIA upigwe vita Kila Kona, in fact iwe ni Vita kama ilivyo vita dhidi ya VVU .

Dira ya Taifa 2050, ijikite pia katika kuwalinda watoto , Hawa watoto wa Sasa, ndio viongozi kuanzia 2050, Sasa tuamue wenyewe tunataka kuongozwa na aina gan ya kizazi?.


I WISH PROSPERITY AND WELL BEING TO EVERY HOME, EVERY FAMILY AND TO OUR BELOVED COUNTRY , WHEN WE ARE STANDING TOGETHER , NOTHING IS IMPOSSIBLE. HAPPY NEW YEAR 2025.
 
Back
Top Bottom