ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
Hongera kwa kumbukizi ya kuzaliwa kwako mhe. J.K
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chaguo ni lakoSasa hapa "dada mkubwa" tujadili tarehe ya kuzaliwa au tujadili nukuu za CCM?
Ndio maana Mimi naamini katika hii nchi kuna magwiji watatu tu wa siasa za hii nchiView attachment 1966688
Leo ni siku yake ya Kuzaliwa , ambapo Taarifa zinaonyesha kwamba alizaliwa tarehe 7/10/1950 .
Binafsi namtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa , Pia naomba ku DEDICATE ujumbe huu muruwa alioutoa kwenye Mkutano Mkuu wa ccm mwaka 2012 , ambapo aliwaomba wanaccm kujibu hoja za Wapinzani kwa ufasaha BADALA YA KUKASIMISHA MAMLAKA YA CHAMA CHAO KWA JESHI LA POLISI
View attachment 1966687
Hbd![]()
Ni tarehe 07.10.1950 ndiyo siku ambayo Mzee Jakaya Kikwete alizaliwa!
Mzee Kikwete ukiwana kama binadamu kama wengine huwezi kosa mapungufu,lakini Mimi hua nasema wewe ni mmoja wa wanasiasa waliokomaa!
Kipindi cha uongozi wako, kulikuwa na uhuru sana, tofauti kabisa na awamu ya tano, watu walikua wanapata ajira,pesa zilikuwepo na walikua wanaendesha maisha yao vizuri tu!
Nakutakia maisha marefu na yenye baraka tele, uweze kugonga hadi miaka 95 huko kama kina Mzee Madiba Nelson Mandela
JK aliwapiga virungu watu ila hakuna anaemchukiaHakuna mwenye akili na hekima, awe CCM au vyama vya upinzani, awe mkristo, muislam au asiye na dini, asiyempenda Kikwete.
Jakaya Kikwete, unapendwa kwa utu wako, hekima yako na uvumilivu wako.
Kwa hayo mema kwa wanadamu wenzako, Mungu wa rehema akuzidishue maisha yenye heri.
Msowger king
Bila huyu mzee ningesugua soli Sana kitaa hadi ningekomaa
Nashukuru nilimaza chuo kabla ya lile jiwe jeusi halijaja kwenye hatamu ,to hell with him[emoji849]