Heri ya siku ya kuzaliwa kwangu 18/03/198...

Heri ya siku ya kuzaliwa kwangu 18/03/198...

Wise E

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2019
Posts
952
Reaction score
1,016
Namshukuru Mungu kwa kuniongezea mwaka mwingine nashukuru kwa kuendelea kuwa na afya njema na nguvu na wengine humu ambao tuna kumbukizi za siku ya kuzaliwa muwe na maisha marefu.

ni kijana niliezaliwa katikati ya mwaka 1984 to 1987 najua kuna baba, mama, dada, kaka na wadogo zangu humu. Nawependa sana. You are just part of my family, kikubwa tuombeana uzima.
 
Tokea 1984 hadi 1987, ndio tuseme bi mkubwa ako ndio alikuwa anasota labour??
 
Back
Top Bottom